Salma Kikwete Cheo chake ni kipi kikatiba?

Capital

JF-Expert Member
Oct 12, 2010
1,452
1,038
Wanajf, bado nashangaa kuhusu yanayotokea mke wa JK ana cheo gani kikatiba? Maana sasa watz tunafanywa kama misukule, hii mijitu inavunja katiba ya nchi wazi wazi na haiogopi. Mke wa rais, kiutaratibu hatambuliki na hivyo ni kama raia mwingine, hapaswi kupata priveldges kama rais, labda katika utawala wa kifalme. wataalam hebu tuwekeni sawa


salma+kikwete.jpg


H.E 'Presidente' Salma Jakaya Kikwete (P. Courtesy)

When H.E Presidente Salma Jake Kiquette's received like her husband in AR, I penned a piece, "When first lady's treated like her man!" She's at it again! Where did it happen? Wait. Truly, this time she dwarfed all her turgidity.

First, I wanted to call this piece: Resetting our mindsets. My own mind, resented: What are you getting yourself into? I, thus, changed my mind though not my mindset.

Guess what. I didn't know that even beasts face power abuses.

Believe me. I attended birds' kitchen party, and later, snakes' honey moon. Some were complaining that other beasts exploit others. The brides on these occasions were the daughters of rich beasts that used their parents' power abusively.

As I evidenced such unique occasions, my wench, sorry, wife sent me attractive pics that made me tick and write this about impossible and unthinkable made possible.

Seriously, I love, respect, deify and adore presidente Sal especially her way of doing things under her husband's ulaji. I adore her humble beginning and her awe-inspiring climax.

The snaps showed Eng. Stella Matomatoes (Rukua RC) meekly kneeling as she presented health report to H.E presidente Sal J. Kiquette on Feb. 25th. How can such a humble creature become a heavy hitter? The question hovered over my small brain.

Honestly, I didn't get it. How could such highly educated lady--- an engineer who studied tough stuff--- dress herself down--- sorry, do such a wonderful thing--- before another oddity with such finicky know how? Is it because she shares bed with boss? To crown it all, even the good regional chief physician, Dr Guri Richard repeated the same--- kow tow. True, every Fred Marcos has Imelda behind him!

Again, one question came to my mind: Njaa siyo? Why don't many eagle eyes see what I see especially when the highest office's pointlessly violated? I'm wondering.

How many winos do or are we to have if every hubby or wifey allows his or her spouse to unconstitutionally capitalize on and abuse his or her power? Before long, I got the answers. At one of our kanjwaji sessions one bibber once suggested that the dog of the king must be the king of all dogs. Another added that the shoe of the king is the king of all shoes.

Further, I heard some fyatus questioning the rationale of an educated person to put him or herself on lean just because of filling the stomach. Is it masaburi at work? "Again, who advise these guys?" One bibber asked as others grappled with this impunity. I told him to stop wivu wa kike.

I'm not making this up. When what detractors call sacrilege occurred I heard birds complaining that this is too much and too dangerous to wink at. I simply told them to mind their biz. Kutesa kwa zamu or call it eating by turns if not enjoying.

Our hunk's full of spoilers. I heard another tripper asking why simple beasts with small brains and craniums, see it but humans, though, not all, can't see it? Why winos abuse power time and again and those who own power don't take any action? Who'll help them to appreciate the fact that power is a mere dress anybody can put on if the owners decide?"

Methinks the above take's wrong and misguiding. I'm not one of those who believe that political power belongs to the hoi polloi. If it were so, I'd ask: Why boozers regard power as their God-endowed right. Sal and Jake and Anna and Ben, are we reading from the same page?

My duty's write the questions bibbers kept asking. One asked, "Why people regarded as elite do things even a mere swallower can't attempt, leave alone, do?" He's referring to Rukua hanky panky. Again, what to expect where madili replaced maadili?

Seriously, presidente Salma's helping tax payers to get a good deal. She inspects various projects and solicits money from donors. Don't ask how much she spends in her trips or what she puts in her private accounts. She spends the said money on developmental projects such as Wanamama na Mafanikio literally development for women. Is this bad really? When I raised this issue I saw one bibber frowning as if he'd eat me. He chipped in, "There's no development; how come they form these "Ngo-companies" after their spouses come to power?" He added, "This is theft by consent." Given that I love and respect Sal, I thought of teaching him a lesson. Again, I restrained myself knowingly how I'd kill the guy I love to drink with. I forgave him the sane way the Bongolalalanders do to those robbing them in the name of power.

Today's wisdom comes from two former first ladies under two dictators in Philippines and Argentine respectively. "I am First Lady by accident. I was not elected by the people but here I am." Imelda Marcos. "In government, one actress is enough." Eva Peron. Imelda meant to show that people's power can be abused and usurped by a few individuals and their families and friends. While Eva meant that nobody should rise above her except her man.

For bookworms, remember George Orwell's book, Animal Farm (p.45). Let's read together the fourth commandment, "No animal will sleep in a bed with sheets," Again, those closer to the barn owner can share their power and sleep in bed with sheets.

Commandment number seven says, "Four legs good, two legs bad." Go on. Say. All ‘humans' are enemies but ‘animals' are comrades.

Long live ‘powermill.'

Long live ‘animal farm.'


Source: ThisDay March 4-10, 2013.
 
Huu ni usultan ndugu zangu.Leo kaingia mkoani katavi na hakuna kazi iliyofanyika tangu jana yaani wakurugenzi na wafanyakazi wote wapo huko kiwanjani wameenda kumpokea.Pia naomba mnisaidie ndugu zangu.Je ziara zake huwa zinagharamiwa na nani?
 
Ingekuwa wewe ungefanyaje ndo mkeo ana nafasi yake katika chama, na pia anamiliki mfuko wa WAMMA si anatembelea wana mfuko na wanaccm wenzake? wewe ni chadema nin nini? Tuache hayo huo ni utani tu.

Kimsingi hana sifa ya kutembelea nchi (wilaya, mikoa, tarafa hata vijiji kwa kupewa heshima kama kiongozi wa nchi katika ngazi fulani. Utaona anapokrelewa ikulu ndogo na kupewa heshinma zote na kukagua miradi ya serikali kwa kisingizio kuwa yeye ni mjumbe wa nec ya ccm na ccm ndo chama tawala. Hana jipya wala katiba haumruhusu, ni upambe tu na ulimbukeni wa viongozi wetu katika ngazi nazotembelea-angefanya kama chama -hapo sawa kwa kuwa ni mjumbe wa nec ccm.

Hapa TZ si unajua hata baba yako akiwa waziri nawe pia inakuwa nusu waziri? utafanya lolote mtaani kwa jina la waziri husika (babako) bila kuulizwa na watendaji wala polisi-sembuse mke wa rais? OLE WAKO, usiendelee kuhoji -utasweka ndani halafu upatiwe jarada la mauaji ya Kanumba bure
 
Ameenda kama Mwenyekiti wa WAMA, hao walioenda kumpokea ni kiherehere chao, na kama wametumia rasilimali za serikali wanaweza kuchukuliwa hatua (lakini wachukuliwe na nani?)
 
Kama CCM itabaki madarakani miaka mingine kumi tutegemee na wake za wakuu wa Wilaya na Mikoa kuanza kukagua shughuli na ofisi za kiserikali
 
Wanajf, bado nashangaa kuhusu yanayotokea mke wa JK ana cheo gani kikatiba? Maana sasa watz tunafanywa kama misukule, hii mijitu inavunja katiba ya nchi wazi wazi na haiogopi. Mke wa rais, kiutaratibu hatambuliki na hivyo ni kama raia mwingine, hapaswi kupata priveldges kama rais, labda katika utawala wa kifalme. wataalam hebu tuwekeni sawa
Capital, cheo cha Salma Kikwete ni MWALIMU WA ZAMU
 
Last edited by a moderator:
Ameenda kama Mwenyekiti wa WAMA, hao walioenda kumpokea ni kiherehere chao, na kama wametumia rasilimali za serikali wanaweza kuchukuliwa hatua (lakini wachukuliwe na nani?)

Umenena!! Ni kujipendekeza kwa hao viongozi ili mama akitoka safari aende kumwadithia baba na watu wapandishwe vyeo na kadhalika!! Hata kama angekuwa mjumbe wa NEC, kwani mikoa anayotembelea hakuna wawakilishi wa NEC wanaoweza kukagua hizo miradi??

Ni Tanzania tu haya hutokea!!
 
Wanajf, bado nashangaa kuhusu yanayotokea mke wa JK ana cheo gani kikatiba? Maana sasa watz tunafanywa kama misukule, hii mijitu inavunja katiba ya nchi wazi wazi na haiogopi. Mke wa rais, kiutaratibu hatambuliki na hivyo ni kama raia mwingine, hapaswi kupata priveldges kama rais, labda katika utawala wa kifalme. wataalam hebu tuwekeni sawa


kama hujui nafasi ya mke wa rais kikatiba nakushauri rudi shule or do your self a favor kaisome katiba...! katiba hujaisoma unadai waendeshwa kama msukule ... watu bana ...
 
Ana cheo cha ufirst lady jamani, si cheo kidogo hicho!
Ila hilo la kupewa taarifa za maendeleo lbda kaona mumewe hafuatilii na wale alio waweka awaamini so ameamua kuusaidia ubavu wake kufuatilia yale malengo yaliyokusudiwa.
 
Hivi Salma akipewa talaka na JK (mfano tu), hizo taarifa anazosomewa na Mkuu wa mkoa atazipeleka wapi?
Anasomewa taarifa na mkuu wa mkoa? That is ridiculous, mkuu wa mkoa anamsomea salma taarifa zinazohusu nini? kama ni ya kweli haya basi watanzania tukubali kwamba sisi ni mazuzu kupitiliza. Kwa style hii, na Ridhiwani naye atakwenda mikoani na kupolekewa na wakuu wa mikoa na kusomewa taarifa za maendeleo za mikoa.

Haya yanatokea kwenye utawala wa Kikwete tu, sina uhakika kama yaliwahi kutokea kabla. Kama utawala wa Nyerere hatukumsikia kabisa mama Maria Nyerere hadi pale alipofariki Nyerere ndipo tulianza kumsikia Maria, ni kwa vipi utawala huu umejaa mama Salma all over, halafu anapokelewa na viongozi wa serikali? Inakera sana.

Na hapo watu mnalalamika ni kwanini nchi inaendelea kuwa na madeni ilihali kinachofanyika hakionekani. Hivi hela ya mama Salma kuzunguka mikoani imetoka wapi kama siyo hiyo mikopo inayoongezeka usiku na mchana? Maana tunajua bajeti ya Ikulu haipitishwi na bunge, so ni wazi kwamba Kikwete anaweza kukopa tu huko na kuja kujipangia bajeti bila kuipitisha bungeni.

Mbona hatujawahi kusikia bunge likipitisha hiyo mikopo?
 
Hakuna linaloshindikana Tanzania, Mama anamsaidia Baba kuweka mambo sawa ili aweze kutimiza ahadi kwa wananchi
 
Heading yako umeuliza swali halafu cha kushangaza kwenye maelezo yako ukalijibu hilo swali. Sasa unataka watu/wataalamu wakueleze nini zaidi wakati jibu umelitoa mwenyewe.
 
Ingekuwa wewe ungefanyaje ndo mkeo ana nafasi yake katika chama, na pia anamiliki mfuko wa WAMMA si anatembelea wana mfuko na wanaccm wenzake? wewe ni chadema nin nini? Tuache hayo huo ni utani tu.

Kimsingi hana sifa ya kutembelea nchi (wilaya, mikoa, tarafa hata vijiji kwa kupewa heshima kama kiongozi wa nchi katika ngazi fulani. Utaona anapokrelewa ikulu ndogo na kupewa heshinma zote na kukagua miradi ya serikali kwa kisingizio kuwa yeye ni mjumbe wa nec ya ccm na ccm ndo chama tawala. Hana jipya wala katiba haumruhusu, ni upambe tu na ulimbukeni wa viongozi wetu katika ngazi nazotembelea-angefanya kama chama -hapo sawa kwa kuwa ni mjumbe wa nec ccm. Hapa TZ si unajua hata baba yako akiwa waziri nawe pia inakuwa nusu waziri? utafanya lolote mtaani kwa jina la waziri husika (babako) bila kuulizwa na watendaji wala polisi-sembuse mke wa rais? OLE WAKO usiendelee kuhoji -utasweka ndani halafu upatiwe jarada la mauaji ya Kanumba bure

wanashindana kusafiri yeye na mumewe.zinazotumika ni pesa zetu
 
Back
Top Bottom