Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Duh kumbe yule jamaa ambae haonekaniwa kaya nawe Goeff.......naogopa kumtaja kwa hapa bana.................!!!!!!!!!!!!
Duh kumbe yule jamaa ambae haonekaniwa kaya nawe Goeff.......naogopa kumtaja kwa hapa bana.................!!!!!!!!!!!!
HEBU NIPE LINK NA MIMI NISOME.unaweza chezea ban bila kujua
Lakini yupo mmoja ambae unampenda zaidi kuliko wote au sio?
wenyewe wanasema WAHI NIKUWAHI!...sasa shemeji,what if bht akimkubalia ''muzee ya tuktuk''?Duh!!!..Kweli unajituma mpwa...Btw,ina maana hujui kuwa bht ni shemeji yako kwangu???,au makusudi tuu???....Heshima ichukue nafasi yake aisee
Duh!!!..Kweli unajituma mpwa...Btw,ina maana hujui kuwa bht ni shemeji yako kwangu???,au makusudi tuu???....Heshima ichukue nafasi yake aisee
wenyewe wanasema WAHI NIKUWAHI!...sasa shemeji,what if bht akimkubalia ''muzee ya tuktuk''?
HEHEHE!tuombe mungu.(tatizo jamaa ana kizizi)Hawezi kumakubalia,nadhani umeona hapo juu jinsi dadaako alivompa kubwa 'muzee ya tuktuk',sema anajifanya mbishi tu...Ila nina uhakika alikuwa hajui kwamba huyu(bht) ni shemeji yake ndo maana akaanza kumisbehave
Nasikia unashindwa kumhudumia ndo maana tunataka kukusaidia.
Bht tunaomba uthibitisho kama huyu ndo mme mwenza.
Duh!!!..Kweli unajituma mpwa...Btw,ina maana hujui kuwa bht ni shemeji yako kwangu???,au makusudi tuu???....Heshima ichukue nafasi yake aisee
wenyewe wanasema WAHI NIKUWAHI!...sasa shemeji,what if bht akimkubalia ''muzee ya tuktuk''?
Nasikia unashindwa kumhudumia ndo maana tunataka kukusaidia.
Bht tunaomba uthibitisho kama huyu ndo mmewe mpenzi /QUOTE]
huyu ndo mpendwa wa moyo wangu....no one and I mean no one will ever replace him in my heart.
B you are the only one....haijalishi......
Fide enedelea kuwa fisi mkono haudondoki ujue......
Heheeeeeeee,mpwa una vituko wewe...Hujui sifa yetu watu wa Sukuma land nini,kwa kuhudumia akina mama sisi tupo juu,tunajua kupenda Nkwingwa(Atakuthibitishia mwenyewe B)
HEHEHE!tuombe mungu.(tatizo jamaa ana kizizi)
Nafikiri hapa ulitaka kusema hawezi kunikubalia au nimekosea?
kumbe alisharusha kete?.....!kwangu hakibambi.....muulize au anaona soo kukwambia ukweli????
Dah,hiyo ni spelling error tu mazee,sidhani kama kulikuwa na haja ya kuiquote kihivyo..Nimeshaiedit though..Naomba uifute basi(if you don't mind)
kumbe alisharusha kete?.....!
ngoja nitoke kidogo!hahahahahahahahahahahahahahahahahahaha
HEHEHE!tuombe mungu.(tatizo jamaa ana kizizi)
hehehehe!kwa mtandao huu BHT HACHOMOKIThubutuu,amfanyie kizizi bht anipe kibuti??,heheeeeee,itakuwa ngumu sana bwana shemeji...FYI hii ni chapa ya Ng'ombe bwana
huyu mie najua lengo lake baya kwetu.........
haiwezekani kakaake na we unajua hilo
Nasikia unashindwa kumhudumia ndo maana tunataka kukusaidia.
Bht tunaomba uthibitisho kama huyu ndo mmewe mpenzi /QUOTE]
huyu ndo mpendwa wa moyo wangu....no one and I mean no one will ever replace him in my heart.
B you are the only one....haijalishi......
Fide enedelea kuwa fisi mkono haudondoki ujue......
Nafurahi mnoooooooo kusikia hivyo mpenzi...Nami pia kwangu ni wewe pekee....kamwe hatatokea mwingine
Thubutuu,amfanyie kizizi bht anipe kibuti??,heheeeeee,itakuwa ngumu sana bwana shemeji...FYI hii ni chapa ya Ng'ombe bwana
baelezee laaziz wangu!!!!!!!!!!!!!Thubutuu,amfanyie kizizi bht anipe kibuti??,heheeeeee,itakuwa ngumu sana bwana shemeji...FYI hii ni chapa ya Ng'ombe bwana
hehehehe!kwa mtandao huu BHT HACHOMOKI
Nitakuwa sijaamua sema niamue huyu bht atakuwa ananifuata mpaka Chawote we ni ruhusu.
Nitakuwa sijaamua sema niamue huyu bht atakuwa ananifuata mpaka Chawote we ni ruhusu.