Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,450
- 25,592
Salama akiwa kawaida hawezi kabisa kuvutia kumuangalia.Bora alivo kama kafyatuka ndo wengi wanapenda
Kweli tupu..
Salama akiwa kawaida hawezi kabisa kuvutia kumuangalia.Bora alivo kama kafyatuka ndo wengi wanapenda
halafu akishabadika....
Kama anakukera kamuangalie yule jamaa anayesemaga zamadamuuu tbc ndio atakufuraisha.
acha zako wewe kunamtu anamuangalia huyo jamaa alafu akafurahi? yule jamaa ana mtindio sio bure! si ndo huwa anatangazaga kipindi cha kwaya?
Nimemhukumu nini sasa?
Kwamba ni lesbian!
MLETA MADA HAJAKOSEA unajua tukienda nyuma tukirudi hii ni page ya mastaa au hapa wa kumkosoa ni wema tu na diomond...............tukija kwa salama...ivi hata akija kuzaa yule watoto wataiga huo uanamkedume? mi siku moja nimekutana nae mlimani city mwenyewe anashuka kwenye gari na mkaka sijui ndo shemeji yetu......lakini alivyovaa huo mlegezo na anavyotembea ni zile za whatsaaaap meeeeen????jamani binti wa kiislam unabehave like that is it fair?
Hahaa inawezekn akawa lesbian ushawahi sikia km ana msela wakem?? Hata wakusingizia!