Salama Jabir punguza usela

Labda wengi mmemjua salama kuanzia Bongo star search na Planet Bongo lakini huyu binti alikuwa anafanya kipindi cha mahaba usiku kama Diva.....sauti lainiiiiii na muziki wa taratibu sana kipindi hicho sista du sana tu............Nadhani kuna uhusika alioamua kuvaa ili kuzidi kufanya watu wafatilie vipindi vyake lakini kama ungekuwa umewahi kumsikiliza those days wala usingehofu na muonekano wake wa sasa.....

nimekuelewa mkuu
 
Labda wengi mmemjua salama kuanzia Bongo star search na Planet Bongo lakini huyu binti alikuwa anafanya kipindi cha mahaba usiku kama Diva.....sauti lainiiiiii na muziki wa taratibu sana kipindi hicho sista du sana tu............Nadhani kuna uhusika alioamua kuvaa ili kuzidi kufanya watu wafatilie vipindi vyake lakini kama ungekuwa umewahi kumsikiliza those days wala usingehofu na muonekano wake wa sasa.....

kweli kabisaa nakumbuka nyumbani tulikua tunamkubali sana ila ni kitambo sana we kweli unamjua
 
mm bibi yangu huwa habanduki kwenye kochi mpaka auone huo mkasi.
 
Abaki hivyohivyo tu, atapoteza mvuto.

Kuna watu wanavutiwa na usela wake
 
Labda wengi mmemjua salama kuanzia Bongo star search na Planet Bongo lakini huyu binti alikuwa anafanya kipindi cha mahaba usiku kama Diva.....sauti lainiiiiii na muziki wa taratibu sana kipindi hicho sista du sana tu............Nadhani kuna uhusika alioamua kuvaa ili kuzidi kufanya watu wafatilie vipindi vyake lakini kama ungekuwa umewahi kumsikiliza those days wala usingehofu na muonekano wake wa sasa.....

Kuna show moja ellen nakumbuka alisema ile ni character tu aliokua nayo sio kwamba real yuko vile alimwambia dogo flani au labda alimtania...
 
Kama anakukera kamuangalie yule jamaa anayesemaga zamadamuuu tbc ndio atakufuraisha.

acha zako wewe kunamtu anamuangalia huyo jamaa alafu akafurahi? yule jamaa ana mtindio sio bure! si ndo huwa anatangazaga kipindi cha kwaya?
 
Back
Top Bottom