Labda wengi mmemjua salama kuanzia Bongo star search na Planet Bongo lakini huyu binti alikuwa anafanya kipindi cha mahaba usiku kama Diva.....sauti lainiiiiii na muziki wa taratibu sana kipindi hicho sista du sana tu............Nadhani kuna uhusika alioamua kuvaa ili kuzidi kufanya watu wafatilie vipindi vyake lakini kama ungekuwa umewahi kumsikiliza those days wala usingehofu na muonekano wake wa sasa.....
Kama anakukera kamuangalie yule jamaa anayesemaga zamadamuuu tbc ndio atakufuraisha.
Labda wengi mmemjua salama kuanzia Bongo star search na Planet Bongo lakini huyu binti alikuwa anafanya kipindi cha mahaba usiku kama Diva.....sauti lainiiiiii na muziki wa taratibu sana kipindi hicho sista du sana tu............Nadhani kuna uhusika alioamua kuvaa ili kuzidi kufanya watu wafatilie vipindi vyake lakini kama ungekuwa umewahi kumsikiliza those days wala usingehofu na muonekano wake wa sasa.....
Asije anza kujuta baadae wakati wa kuhitaji mtoto ili hali umri hauruhusu
Sha is lesbian.
Mbona unamhukumu?
Unakaa home kumbe?
Labda wengi mmemjua salama kuanzia Bongo star search na Planet Bongo lakini huyu binti alikuwa anafanya kipindi cha mahaba usiku kama Diva.....sauti lainiiiiii na muziki wa taratibu sana kipindi hicho sista du sana tu............Nadhani kuna uhusika alioamua kuvaa ili kuzidi kufanya watu wafatilie vipindi vyake lakini kama ungekuwa umewahi kumsikiliza those days wala usingehofu na muonekano wake wa sasa.....
Kama anakukera kamuangalie yule jamaa anayesemaga zamadamuuu tbc ndio atakufuraisha.