tisa desemba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 434
- 114
Awali ya yoye napenda nianze kwa salamu yetu aliyoiasisi BABA WA TAIFA hili kabla na baada ya mara baada uhuru
UHURU...................na kaziiii.
pili nichukue fursa hii kuushukuru uongozi mzima wa jf, hogereni sana, kazi mnayoifanya ni kubwa sana, msichoke kwani ninyi ndio radio, tv, magazeti, n.k kwetu sisi tulioko huku kijijini sitimbi.
mwisho, niwashukuru na kuwapongeza sana members woooote wa jf (hasa jukwaa hili), kwa kweli mmenifunza mengi sana, ujuzi wa mambo na uwezo wangu wa kufikiri umeongezeka sana. nimekuwa msomaji wa jf kwa takribani miaka 2, leo nimeamua nami nianze kuchangia mijadala mbalimbali katika jukwaa hili nikilenga kuijenga tanzania (asili tanganyika) tuitakayo.
naomba kuwasilisha.
UHURU...................na kaziiii.
pili nichukue fursa hii kuushukuru uongozi mzima wa jf, hogereni sana, kazi mnayoifanya ni kubwa sana, msichoke kwani ninyi ndio radio, tv, magazeti, n.k kwetu sisi tulioko huku kijijini sitimbi.
mwisho, niwashukuru na kuwapongeza sana members woooote wa jf (hasa jukwaa hili), kwa kweli mmenifunza mengi sana, ujuzi wa mambo na uwezo wangu wa kufikiri umeongezeka sana. nimekuwa msomaji wa jf kwa takribani miaka 2, leo nimeamua nami nianze kuchangia mijadala mbalimbali katika jukwaa hili nikilenga kuijenga tanzania (asili tanganyika) tuitakayo.
naomba kuwasilisha.