Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,936
- 6,032
Nope! Fundi gari anafanya testing kucheki gari kama ina weaknesses ili arekebishe hizo snags.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nope! Fundi gari anafanya testing kucheki gari kama ina weaknesses ili arekebishe hizo snags.
Kuna nabii alipimwa imani kwa kumtoa mtoto wake sadaka baada ya kuonekana imani yake ni imara akapewa kondoo amtoe sadaka.
Ibrahim/Abraham hakuwa nabii.
Kiswail kina uhaba wa maneno ila Mungu hamjaribu MTU Bali anampima kama amefika level flan akuinue zaidi, kama vile shulen twapewa mitian tuvuke madarasa..iWadau kwa Wakristo katika ile Sala ya Baba yetu uliye Mbinguni kuna maneno yanasomeka kuwa " Usitutie Majarubuni bali utuokoe na yule Muovu."Swali langu je Mungu anaweza kututia Majaribuni?Mie naamini Mungu anatupenda je anaweza kutufanyia hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna aombaye apitie majaribuni isipokuwa ni njia mojawapo shetani hushitaki Watu wa Mungu kuwapima imani na huomba kibali kwa Mungu kama ilivyokuwa kwa Ayubu.
Kumbuka "imeandikwa usimjaribu Mungu wako" so ikiwa unapitia majaribu tambua uko kwenye kipimo cha imani lkn Mungu hujivunia wakati huo ikiwa utasimama imara hadi utaposhinda jaribu lako kuwa jns gani unamtegemea na kumuamini Mungu ktk kila jambo hata upitapo ktk uvuli wa mauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio apo ninapoamini kuwa Mungu na shetani kuna kipindi wanakubaliana kwenye bahadhi ya mambo lakini vile vile shetani ana mamlaka ya ndani ila kuna bahadhi ya vitu hawezi kuvifanya hadi aombe ruksa kwa Mungu mfano kama Tanzania na Zanzibar. Zanzibar wana mamlaka yao ya ndani lakini bahadhi ya mambo lazima waombe ridhaa ya serikali kuu (Tanzania)
Yaani unamanisha hivi tulivyoumbwa sisi ndivyo mfano wa Mungu alivyo??Katika kitabu kiitwacho CONVERSATION WITH GOD Muandishi Allan Watts Kaandika "Iwapo Mungu amekuumba kwa mfano wake kwanini atafute mapungufu kwako?"
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza tena ukishinda hayo majaribu anakupa darajakubwa sana before and after death..Wadau kwa Wakristo katika ile Sala ya Baba yetu uliye Mbinguni kuna maneno yanasomeka kuwa " Usitutie Majarubuni bali utuokoe na yule Muovu."Swali langu je Mungu anaweza kututia Majaribuni?Mie naamini Mungu anatupenda je anaweza kutufanyia hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes! Nimependa hii.Binafsi naamini Mungu atutii majaribuni ila Shetani ndio kazi yake kufanya hivyo na ndio maana hata Yesu alimkemea Shetani na kumwambia Usimjaribu Bwana Mungu wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja niongeze kidogo mkuu.Msamiati wa Kiswahili bado ni mdogo.
Jaribu 1 = testing
Jaribu 2 = temptation
Zipo tofauti kati ya testing - dokimazo
Na temptation (peirazo)
Testing (Jaribu) - Uratibiwa na Mungu ili kupima na kukomaza imani zetu. Mungu kamwe hafanyi temptation kwa kiumbe chake (Yakobo 1:13) pia hata Yeye hajaribiwi (Shetani, husimjaribu BWANA Mungu wako).
Ibrahimu, Ayubu, Waizraeli ... wote walijaribiwa (Dokimazo) - angalia 17:10, Zaburi 26:2, Kumbu 8:1-2.
Temptation (Jaribu) - Uratibiwa na Shetani kwenda kwa binadamu ili atende dhambi.
Angalia: 1 Wathesalonike 3:5, 1 Wakor 7:5.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah.Mungu aliruhusu mtumishi wake Ayoub ajalibiwe.
Wakati mwingine majaribu hayana budi kuja ili kuzipima imani zetu kwa Mungu mwenyezi.
Na tunapoomba asitutie majaribuni tunamaanisha sisi ni dhaifu atuzidishie imani
Hakuna kitu kinaweza kumpata mtu kama Mungu hajaruhusu. Hili limewekwa wazi kwenye kisa cha Ayubu.Wadau kwa Wakristo katika ile Sala ya Baba yetu uliye Mbinguni kuna maneno yanasomeka kuwa " Usitutie Majarubuni bali utuokoe na yule Muovu."Swali langu je Mungu anaweza kututia Majaribuni?Mie naamini Mungu anatupenda je anaweza kutufanyia hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hapa ndipo Mungu aliponivuruga zaidi ufahamu baada ya kukaa na shetani na kufanya nae mazungumzo kwamba amtese ayubu ila asimuue.Mungu aliruhusu mtumishi wake Ayoub ajalibiwe.
Wakati mwingine majaribu hayana budi kuja ili kuzipima imani zetu kwa Mungu mwenyezi.
Na tunapoomba asitutie majaribuni tunamaanisha sisi ni dhaifu atuzidishie imani