Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,041
- 103,473
Madaraja ni sehemu ya maisha na hayakuja kuondoka ili watu wote tulingane,Cha msingi pambania maisha yako achana na siasa uchwara.Hata hao unaowapigania waingie madarakani nao wanatembelea VX na wana maisha mazuri,Ila Shida yao ni wanafiki.
Sawa kabisa, ila tunataka wanaotembelea VX sasa na kuharibu biashara zetu, na wao waje mtaani wafaidi kazi ya mikono yao.