Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,747
unajua ukimwangalia makamba. ana taswira ya mtu asiyefaa kuwa rafiki.Makamba alikuwa kule siku ya tukio, bila shaka yeye ndiye aliyeingineer haya mambo yote. Lakini Mungu akiwa upande wetu ni nani atakuwa kinyume na sisi? Tuzidi kumwomba Labuka.
NI MWANAJESHI na ana kiu ya kuua
anaua demokrasia kwenye chama chake na nchini