Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,545
- 63,023
Ila huyu jamaa hawezi kupigwa chini.Hawezi JPM kwenda zaidi ya hapa. Ameshamlinda sana! Nche,ba alikuwa na kosa gani la zaidi zaidi? Huyu ni Mwizi alitaka kuiibia serikali... ameachwa! Mtumishi wa umma mdanganyifu namna hii! Anaachwa!
Zile kontena zinataliwa bei tuu. Na mchezo unaishia hapo.
Kuna kimchezo kinachezwa hapa. Tusigetemee ile barua yenye misamiati kama;
Ametengua.
Nafasi yake itachukuliwa
Hakuna la zaidi hapa.