Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
umefika wakati sasa wa Serikali kuacha upole na kuanza kufanya kazi kama Serikali, tumia vyombo vyote vya Dola ulivyonavyo na kuanza kusaka hao takataka nyumba hadi Nyumba mpaka wote waishe na Amani irejee nchini mwetu, na nashauri anzia na Bungeni!
Akili matope kabisa.