Murano
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,058
- 1,099
mzee small alikuwa anaumwa muda sana aliomba pia msaada sana wa kutibiwa, utaskia michango ikatayo changishwa sasa.r.I.p.mzee small
umeona eeh!? ngoja tuone watavyojipendekeza kumjua
mzee small alikuwa anaumwa muda sana aliomba pia msaada sana wa kutibiwa, utaskia michango ikatayo changishwa sasa.r.I.p.mzee small
Rip wafiwa wataarajiwa
hiyo lugha ni kikongo?,r.i.p mzee small,poleni wanafamilia,mbele yako nyuma yetu,alale anapostahili....dah another leaders saga
rip.....ila huyujamaamara sita anasemewa kafa afi ngojanisubirndugu
umeona eeh!? ngoja tuone watavyojipendekeza kumjua
mzee small alikuwa anaumwa muda sana aliomba pia msaada sana wa kutibiwa, utaskia michango ikatayo changishwa sasa.r.I.p.mzee small
utaskia oh alikua mtu muhimu ktk jamii cjui kioo cha jamii tz tmepoteza mtu mashuhuri sana .....sasa jamani tuna hitaji mchango wenu sana ila wakati anaumwa ah hawakumpa msaada vya kutosha...
Sitaki kuamini kama bakhresa ali amua kumtosa mzee small mnadi maarufu wa bidhaa za azamu,Rip mzee small.
kweli kabisa watanza kutoa namba mpesa, tigo pesa, acount ya bank ilimradi wapige hela wajinga sana hao.r.I.p mzee smallKuna mijitu ita jifanya imeguswa sana na kifo chake wakati hata kipindi ana umwa hawajawahi kwenda kumsabahi hata kumpigia simu ya pole tu hakuna....
.....Unafiki ni ufuasi wa shetani.....