Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,681
- 1,698
Ni kuhusu 'transmitters' za RFA kutofanya kazi pindi mvua ikinyesha. Ni wiki tatu RFA haisikiki Tabora na kusababisha adha kwa wasikilizaji wenu kisa mvua imenyesha, jana ndio imerejea hewani. Hivi vifaa wanapata wapi sasa? Basi waviwekee miavuli au wavifunike na mifuko ya Rambo ili isilowe.