tzjamani
JF-Expert Member
- Oct 9, 2010
- 995
- 30
Hilo ndio lilikuwa wazo langu la kwanza kisha nikarudi na jibu la kupanga safu kamili ya makada wanaotegemewa kuliokoa jahazi hilo,ndipo nilipoanza kuwataja rasmi na mikoba yao watakabidhiwa baada ya taratibu za kiitifaki na kiiintelijensia kukamilika.
Kila kundi litakuwa na makada wawili wawili, nilianza,Edward Lowassa atakuwa na Dk Harrison Mwakyembe, Anne Makinda na Samuel Sitta, Rostam Aziz na Christopher Ole Sendeka, Andrew Chenge na Prof. Mark Mwandosya, Sophia Simba na Anna Kilango na Pius Msekwa atakuwa na Mzee John Malecela (Tinga tinga).
Wengine niliowapanga kwenye safu ya kuiokoa CCM, ni Yusuph Makamba na William Shelukindo, Stellah Manyanya na Hawa Ghasia,Godfrey Zambi na Peter Selukamba,William Ngeleja na Lucas Selelii, Nape Nnauye ataongozana na Amos Makala .
Watakaoiokoa CCM hawa hapa
Kila kundi litakuwa na makada wawili wawili, nilianza,Edward Lowassa atakuwa na Dk Harrison Mwakyembe, Anne Makinda na Samuel Sitta, Rostam Aziz na Christopher Ole Sendeka, Andrew Chenge na Prof. Mark Mwandosya, Sophia Simba na Anna Kilango na Pius Msekwa atakuwa na Mzee John Malecela (Tinga tinga).
Wengine niliowapanga kwenye safu ya kuiokoa CCM, ni Yusuph Makamba na William Shelukindo, Stellah Manyanya na Hawa Ghasia,Godfrey Zambi na Peter Selukamba,William Ngeleja na Lucas Selelii, Nape Nnauye ataongozana na Amos Makala .
Watakaoiokoa CCM hawa hapa