Keen
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 617
- 170
Kweli ww ni Golfer kabisa hivi umri wako kwanza ukoje?maana unaweza kuwa unaongea bila kujua nn unachoongea,wakati wa mungai wizara ya elimu ndo iliyumba sana kwa mabadiliko yake ya ajabu ya kuunganisha masomo na kubadili mitaala pia hata michezo huyu jamaa aliifuta.vilaza wengi tulionao ss hivi ndo wahanga wa mungai ss ww unataka aje atengeneze wahanga wengine?tutolee huu upuuzi hapa
Approved!!! Keen