Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Bandugu bapendwa, safari siyo kifo na Mungu siyo Athumani wala Abdallah!
Babu DC karudi salama
Kamkuta bibi mzima kama malaika
Hakuna uchakachuaji hata kidogo
Wajukuu hawajambo wote?
NasiKia baadhi wamekuMbwa na mafuriko
DA kapatwa na jinamizi gani?
AD naye vipi?
Nasubiri kusikia mengi...
Nambie kama nyumba haijachomwa moto
Tena kwa maji ya uvuguvugu
The Finest fanyara hima,
Mtoe babu wasiwasi
Hebu mweleze babu
Kondoo wote wako salama?
Judith na Kashaija butege
Mwimbie babu shairi
Atulize roho yake, na kuvuta kiko kwa raha zake,
Babu DC 1947!!
Babu DC karudi salama
Kamkuta bibi mzima kama malaika
Hakuna uchakachuaji hata kidogo
Wajukuu hawajambo wote?
NasiKia baadhi wamekuMbwa na mafuriko
DA kapatwa na jinamizi gani?
AD naye vipi?
Nasubiri kusikia mengi...
Nambie kama nyumba haijachomwa moto
Tena kwa maji ya uvuguvugu
The Finest fanyara hima,
Mtoe babu wasiwasi
Hebu mweleze babu
Kondoo wote wako salama?
Judith na Kashaija butege
Mwimbie babu shairi
Atulize roho yake, na kuvuta kiko kwa raha zake,
Babu DC 1947!!