Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,598
- Thread starter
- #81
ooooooooooooppppppppps, kumbe nafanya udalala! ha haaaaaaaaaaaaa. namsaidia huyo binti anaonekana bila infii hawezi kusimama
Kuuumbe...Mimi nilidhani unamsaidia babu mwenzangu asilale njaa. Kama ni dada itabidi tumsaidie pamoja..Nawapenda sana wajukuu zangu, kwa sitaki na wala sipendi wachakachuliwe kireja reja!!