Elections 2010 Safari ndefu ya ukombozi imeanza Chadema yagonga rasmi milango ya NEC

naomba nikukumbushe kuwa ya CUF zanzibar hayajanza juzi mwaka 2000 damu ilimwagika, raia wasio na hatia walikufa na wengine kukimbilia uhamishoni. mwisho wa yote CCM wamekubali yaishe kwa kuunda serikali ya mseto. hakuna ushindi pale ni amridhiano. fanya mambo kwa upembuzi kabla hujayatoa maamuzi yako kwa watu. hata bara ya leo haitojengwa siku moja inaanza leo ili kesho watu waishi kwa amani na kweli. USIKURUPUKE kujibu hoja za watu ili nawe uonekane umeandika.
 
huyu marandu sasa ndio anaimaliza chadema kwa kutengeneza ushahidi bandia ili MASHABIKI wao wakasirike na kuleta fujo, na hapo ndio mwisho wa chadema maana mashabiki wao masikini watapata mkongoto na huenda chadema kufutwa kabisa kwa kuchochea machafuko na kumwaga damu!!!!

mimi nawashauri viongozi wa chadema wakubali matokeo na wamepata wabunge wengi wakafanye kazi bungeni waache kukimbilia ikulu waache kumsikiza huyu marandu anataka kuua chama chenu kwani ameingia chadema kwa kazi maalumu ambayo aliisha ifanya kazi kama hiyo pale alipoua nccr-mageuzi miaka ya 90!!!

mbona cuf wamekubali matokeo ya zanzibar na kama ushindi hupatikana kwa wingi wa mahudhurio ya watu ktk mikutano ya kampeni, basi maalim sefu alikuwa anapata umati wa watu, lakini wananchi wameamua hivyo slaa huna budi kukubali maamuzi ya wananchi na hapo utaonesha uzalendo na ukomavu wa kisiasa!!! Vinginevyo utajiabisha kwa kuchochea machafuko na kumwaga na damu za mashabiki wako!!!!

slaa wewe ni padri na unatakiwa kuonyesha upendo na huruma uliyofundishwa rome ili mashabiki wako wasipate misukosuko!!!
Nikukumbushe hitoria: Maalimu alikataa matokeo mara tatu 1995, 2000.na 2005
Ni baada ya umwagaji damu uliotokea Pemba ndipo umepatikana muafaka ambao kwa mara ya kwanza umefanyika uchaguzi wa amani na ndipo maalim amekubali matokeo. Na haya ya sasa si kwamba hayakuchakachuliwa, bali maalim ameona akubali ili waimarishe muafaka!
 
My take; Mahakamani je?

Katiba mbovu na ilopitwa na wakati inayokumbatiwa na ccm hairuhusu matokeo ya urais kupingwa mahakamani, yaani hata kikwete akipata kura tano, ya kwake, ya salma, ya ridhiwani, ya miraji na ya kinana afu nec ikaamua kumtangaza yeye ndo mshindi, basi mchezo ndo umeishia hapo!
 
huyu marandu sasa ndio anaimaliza chadema kwa kutengeneza ushahidi bandia ili MASHABIKI wao wakasirike na kuleta fujo, na hapo ndio mwisho wa chadema maana mashabiki wao masikini watapata mkongoto na huenda chadema kufutwa kabisa kwa kuchochea machafuko na kumwaga damu!!!!

mimi nawashauri viongozi wa chadema wakubali matokeo na wamepata wabunge wengi wakafanye kazi bungeni waache kukimbilia ikulu waache kumsikiza huyu marandu anataka kuua chama chenu kwani ameingia chadema kwa kazi maalumu ambayo aliisha ifanya kazi kama hiyo pale alipoua nccr-mageuzi miaka ya 90!!!

mbona cuf wamekubali matokeo ya zanzibar na kama ushindi hupatikana kwa wingi wa mahudhurio ya watu ktk mikutano ya kampeni, basi maalim sefu alikuwa anapata umati wa watu, lakini wananchi wameamua hivyo slaa huna budi kukubali maamuzi ya wananchi na hapo utaonesha uzalendo na ukomavu wa kisiasa!!! Vinginevyo utajiabisha kwa kuchochea machafuko na kumwaga na damu za mashabiki wako!!!!

slaa wewe ni padri na unatakiwa kuonyesha upendo na huruma uliyofundishwa rome ili mashabiki wako wasipate misukosuko!!!

I can vividly see SLAA and CHADEMA's downfall.hawa watu hawana dhamira njema na hii nchi na wana agenda ya siri ambayo bado watanzania hatujaijua.mara zote MAFIA wa aina hii hutumia slogan za UKOMBOZI ili kupata sapoti ya wananchi lakini kilichokuwa nyuma ya pazia hakuna mtu anayejua.
let them try, wataona nini kitakachowapata. naona dalili za kufutwa kabisa katika ramani ya dunia kitu kinachoitwa CHADEMA
 
huyu marandu sasa ndio anaimaliza chadema kwa kutengeneza ushahidi bandia ili MASHABIKI wao wakasirike na kuleta fujo, na hapo ndio mwisho wa chadema maana mashabiki wao masikini watapata mkongoto na huenda chadema kufutwa kabisa kwa kuchochea machafuko na kumwaga damu!!!!

mimi nawashauri viongozi wa chadema wakubali matokeo na wamepata wabunge wengi wakafanye kazi bungeni waache kukimbilia ikulu waache kumsikiza huyu marandu anataka kuua chama chenu kwani ameingia chadema kwa kazi maalumu ambayo aliisha ifanya kazi kama hiyo pale alipoua nccr-mageuzi miaka ya 90!!!

mbona cuf wamekubali matokeo ya zanzibar na kama ushindi hupatikana kwa wingi wa mahudhurio ya watu ktk mikutano ya kampeni, basi maalim sefu alikuwa anapata umati wa watu, lakini wananchi wameamua hivyo slaa huna budi kukubali maamuzi ya wananchi na hapo utaonesha uzalendo na ukomavu wa kisiasa!!! Vinginevyo utajiabisha kwa kuchochea machafuko na kumwaga na damu za mashabiki wako!!!!

slaa wewe ni padri na unatakiwa kuonyesha upendo na huruma uliyofundishwa rome ili mashabiki wako wasipate misukosuko!!!
Huyu mama ananiboa kwa uelewa wake mbovu, anapenda kupotosha mantiki za thread! Waambie kikwete na nec kwa nini wanatangaza matokeo ambayo siyo, ila sio Dr. aache kudai haki ya umma! Yaani wewe unaona kudhulumu haki za watu ni bora kuliko kudai! Pumbavu
 
I can vividly see SLAA and CHADEMA's downfall.hawa watu hawana dhamira njema na hii nchi na wana agenda ya siri ambayo bado watanzania hatujaijua.mara zote MAFIA wa aina hii hutumia slogan za UKOMBOZI ili kupata sapoti ya wananchi lakini kilichokuwa nyuma ya pazia hakuna mtu anayejua.
let them try, wataona nini kitakachowapata. naona dalili za kufutwa kabisa katika ramani ya dunia kitu kinachoitwa CHADEMA

Hii ni home of Great thinkers na wachangiaji tuendeleze hiki. Naona kauli za uchochezi hapa kinachofanywa na Chadema hata CCM wana mipango ya kukata rufaa kwa baadhi ya majimbo, hiyo ni haki ya msingi sasa issue za agenda ya siri,kufutwa Chadema etc ni dalili za low thinking capacity. Cha muhimu chama chochote ambacho kinaona kimeonewa kifuate taratibu bila kuathiri AMANI tuliyo nayo.
 
huyu marandu sasa ndio anaimaliza chadema kwa kutengeneza ushahidi bandia ili MASHABIKI wao wakasirike na kuleta fujo, na hapo ndio mwisho wa chadema maana mashabiki wao masikini watapata mkongoto na huenda chadema kufutwa kabisa kwa kuchochea machafuko na kumwaga damu!!!!

mimi nawashauri viongozi wa chadema wakubali matokeo na wamepata wabunge wengi wakafanye kazi bungeni waache kukimbilia ikulu waache kumsikiza huyu marandu anataka kuua chama chenu kwani ameingia chadema kwa kazi maalumu ambayo aliisha ifanya kazi kama hiyo pale alipoua nccr-mageuzi miaka ya 90!!!

mbona cuf wamekubali matokeo ya zanzibar na kama ushindi hupatikana kwa wingi wa mahudhurio ya watu ktk mikutano ya kampeni, basi maalim sefu alikuwa anapata umati wa watu, lakini wananchi wameamua hivyo slaa huna budi kukubali maamuzi ya wananchi na hapo utaonesha uzalendo na ukomavu wa kisiasa!!! Vinginevyo utajiabisha kwa kuchochea machafuko na kumwaga na damu za mashabiki wako!!!!

slaa wewe ni padri na unatakiwa kuonyesha upendo na huruma uliyofundishwa rome ili mashabiki wako wasipate misukosuko!!!

Wewe unaongea pumba gani tena? Unaleta habari za CUF,nani asiyejua kuwa CUF na CCM ni kitu kimoja? Wao wana makubaliano maalum ya kuihujumu Chadema na ndiyo wametumia hoja ya udini kuwafanya Waislam wasichague Chadema.
 
I can vividly see SLAA and CHADEMA's downfall.hawa watu hawana dhamira njema na hii nchi na wana agenda ya siri ambayo bado watanzania hatujaijua.mara zote MAFIA wa aina hii hutumia slogan za UKOMBOZI ili kupata sapoti ya wananchi lakini kilichokuwa nyuma ya pazia hakuna mtu anayejua.
let them try, wataona nini kitakachowapata. naona dalili za kufutwa kabisa katika ramani ya dunia kitu kinachoitwa CHADEMA

Sasa nyie VIJANI wawili kwa nini mnakuwa wapenda SHARI?, ni nani hapa alisema Msomi Marando na Dr.(Phd) Slaa wametangaza vita ya kumwaga damu??, hebu someni thread vizuri kabla ya kuposti. Hivi mnadhani nguvu ya dola inaweza kuishinda NGUVU YA UMMA??? mmesahau ya kule SA, UKRAINE, KENYA, etc...
 
Mwanacbe, please please, huna haja ya kutumia matusi ili kuonyesha kutoridhika kwako na hoja, umeniudhi sana! Si uungwana kabisa! Nadhani Mod anapaswa akufungie mara moja. Please angalia kama unaweza kurudi na ku-edit hii uondoe haya matusi, si vyema kabisa, unanifanya nijisikie vibaya hata kutaka kulia!
 
mwanasheria wa chadema, mabere marando amewasilisha rasmi nec barua ya kupinga matokeo.

hatua zilizochukuliwa/tutakazochukua ni:

1. Kwenda nec - (barua imewasilishwa jana)
2. Tunakwenda kueleza nchi wahisani ambazo zimefadhili shughuli za uchaguzi
3. tunakwenda kuwaeleza wananchi kilichotokea kwa kuwaonyesha ushahidi kamili.
4. Dk. Slaa amepanga kuwakilisha ushahidi mzito unaoonyesha uchakachuaji mkubwa wa kura za urais ulivyofanyika. Ushahidi huo ni pamoja na matokeo halisi ya vituoni yenye saini za mawakala ambayo yanapishana na yale ya nec.

marando alisema hadi juzi jumatatu matokeo ambayo tayari walikuwa wamekusanya kutoka katika maeneo mbalimbali ya nchi, yanaonyesha mgombea urais wa chadema dk. Willibrod slaa anaongoza kwa wastani wa asilimia 61.6%.

my take; mahakamani je?

huu ndio utaratibu unaofaa, chadema should take the lead on the way forward and not anybody jumping on the streets as hooligans. People's power is about having clearly defined objectives.
 
Naona Zubeda ana akiri ndogo, tumsamehe bure, haina haja ya kumtukana. Nashauri pia kama inawezekana ushahidi uwekwe mtandaoni.
 
hivi wewe ameshindwa cuf zenj utachukua wewe bara ****** yako, hiyo jumuiya ya kimataifa imeyabariki matokeo wewe nani ukapinga
 
huyu marandu sasa ndio anaimaliza chadema kwa kutengeneza ushahidi bandia ili mashabiki wao wakasirike na kuleta fujo, na hapo ndio mwisho wa chadema maana mashabiki wao masikini watapata mkongoto na huenda chadema kufutwa kabisa kwa kuchochea machafuko na kumwaga damu!!!!

mimi nawashauri viongozi wa chadema wakubali matokeo na wamepata wabunge wengi wakafanye kazi bungeni waache kukimbilia ikulu waache kumsikiza huyu marandu anataka kuua chama chenu kwani ameingia chadema kwa kazi maalumu ambayo aliisha ifanya kazi kama hiyo pale alipoua nccr-mageuzi miaka ya 90!!!

mbona cuf wamekubali matokeo ya zanzibar na kama ushindi hupatikana kwa wingi wa mahudhurio ya watu ktk mikutano ya kampeni, basi maalim sefu alikuwa anapata umati wa watu, lakini wananchi wameamua hivyo slaa huna budi kukubali maamuzi ya wananchi na hapo utaonesha uzalendo na ukomavu wa kisiasa!!! Vinginevyo utajiabisha kwa kuchochea machafuko na kumwaga na damu za mashabiki wako!!!!

slaa wewe ni padri na unatakiwa kuonyesha upendo na huruma uliyofundishwa rome ili mashabiki wako wasipate misukosuko!!!

dada zubeda ushauri wako ni mzuri sana ili kulinda wizi wenu wa kura mwaka 2015. Chadema tuko makini na tutachukua hatua za kufaa bila ya foju, vurugu wala mambo kama hayo kuhakikisha kuwa katiba mpya inandikwa upya na inakuwepo tume huru ya uchaguzi mwaka 2015.

Chama chochote kina uhuru wa kukataa ama kukubali matokeo kulingana na maslahi inayopata. Hivi sasa ccm inaitumia cuf kukandamiz haki za watu wa tanzania bara. Hebu fikiria tokea kinana alipokurupuka kutangaza idadi ya viti vya ubunge hakuna mkurugenzi aliyethubutu kuruhusu matokeo yanaoonyesha chadema kushinda viti zaidi vya ubunge. Hizo ni njama za kuhakikisha kuwa cuf inakuwa kambi ya upinzani katika bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania kwa kupata viti 24 vya ubunge ambapo 22 kati ya hivyo nji vya pemba; na kuizidi chadema yenye viti 21 vya watanzania bara.

Kimsingi kwa mujibu wa marekebisho ya katiba ya zanzibar ya 2010 yaliyoruhusu serikali ya mseto zanzibar, katiba hiyo iliitaja zanzibar kuwa ni nchi. Kwa hiyo kama bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania litakuwa na kambi ya upinzani iliyoundwa na chama kilichoshinda viti vingi vya ubunge katika nchi tofauti na tanzania bara, ina maana kuwa kambi ya upinzani itatoka nje ya nchi ya tanzania. Huku ni kutawaliwa na ndio njama za ccm kuenndelea kuwatawala watanzania kwa hila
.
 
lengo la kupinga si kwa uchaguzi huu tu bali mpango mzima wa chaguzi zijazo pia, bila kurekebishwa sasa mambo yatajirudia uchaguzi ujao.


kweli kabisa bila ya kuibadili katiba, na tume ya uchaguzi, tutakuwa walalamikaji tu.
 
I can vividly see SLAA and CHADEMA's downfall.hawa watu hawana dhamira njema na hii nchi na wana agenda ya siri ambayo bado watanzania hatujaijua.mara zote MAFIA wa aina hii hutumia slogan za UKOMBOZI ili kupata sapoti ya wananchi lakini kilichokuwa nyuma ya pazia hakuna mtu anayejua.
let them try, wataona nini kitakachowapata. naona dalili za kufutwa kabisa katika ramani ya dunia kitu kinachoitwa CHADEMA
Nafikiri huelewi kinachoendelea,chama hakifutwi kwa kudai haki kumbuka historia ya CUF 1995 2000, umesahau wabunge wao na wawakilishi walikuwa mabubu bungeni kwa miaka minne walikuwa wakiingia na kusaini na kutoka ndani bila kuzungumza chochote mbona hukushauri CUF ifutwe kwa wawakilishi kulipwa bure pesa za walipa kodi.
 
Back
Top Bottom