Anachokifanya Sadio Mane kwa mkewe kinaweza kumgharimu sana. Maana dunia hii ni tambara bovu, linaweza kuchanika mahala asipotarajia.
Eti kamruhusu mkewe aende chuo akaendelee na masomo ili hali wamefunga ndoa hivi majuzi tu. Na mke hana mimba wala nini.
.
Vyuoni kuna wakware waliopinda wakapinduluka. Atapigwa tukio huyu Mane mpaka aachane na soka kabisa.
Yule mkewe siyo malaika na wala hana moyo wenye wema kuwazidi Delila na Eva .
Eti kamruhusu mkewe aende chuo akaendelee na masomo ili hali wamefunga ndoa hivi majuzi tu. Na mke hana mimba wala nini.
Vyuoni kuna wakware waliopinda wakapinduluka. Atapigwa tukio huyu Mane mpaka aachane na soka kabisa.
Yule mkewe siyo malaika na wala hana moyo wenye wema kuwazidi Delila na Eva .