mundo
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 200
- 9
Mfanyabiashara mashuhuri nchini leo ametangaza rasmi kuwa atajitolea msaada kuchimba visima 600 nchi nzima, baada ya tamko hilo waziri wa maji mh mwandosya alimtembelea nyumbani kake upanga kumshukuru kwa uzalendo wake ndipo alipoongeza visima vingine 100 ambavyo vitachimbwa mkoani mbeya tu. gharama jumla itakuwa Tsh.2bn. alionekana mwenye furaha wakati akipeana mikono na waziri, kukusitiza anafanya hivyo kufuata nyayo za baba yake ambaye alikuwa rafiki wa mwalimu na akaongelea jinsi nelson mandela alivyokuja kuitembelea familia yao miaka ya tisini.
source:ITV saa 2 usiku
source:ITV saa 2 usiku