Stevemike
Senior Member
- Mar 12, 2011
- 117
- 15
Kama mnavyojua, CIA inaongoza kwa upelelezi na kuwa na siri duniani. US hawakuwapasha Pakistan habari ya uvamizi, hakuna mwandishi wa habari aliyejulishwa ili kujiandaa kuchukua picha ili kutovujisha siri, muda uliotumika ulikuwa mfupi sana kiasi kwamba wasingesubiri wachukua picha waje. Hii ingewaweka hatarini. Picha zilizopo ni zile zilizochukuliwa na jeshi kwa ajili ya shuguli zao na nchi yao. Mambo mengi ya kijeshi hua ni siri sana na hayatoki hivi hivi. Nani sasa awaonyeshe? Hizo ni zao na hatuwezi kuwalazimisha!!