1. Anawaponda wapinzani wenzake.
2. Amechuja kwa kugombea mara ya nne.
3. Alishatumika na Serikali bila mafanikio.
4. Chama chake(CUF) kina makubaliano na CCM huko Zanzibar,wakati CCM kinakumbatia ufisadi/mafisadi.
5. Haamini kuchuka kwa bei ya bidhaa za ujenzi wakati malighafi inapatikana Tanzania.
NDIVYO NINAVYOONA WEWE JE ?
2. Amechuja kwa kugombea mara ya nne.
3. Alishatumika na Serikali bila mafanikio.
4. Chama chake(CUF) kina makubaliano na CCM huko Zanzibar,wakati CCM kinakumbatia ufisadi/mafisadi.
5. Haamini kuchuka kwa bei ya bidhaa za ujenzi wakati malighafi inapatikana Tanzania.
NDIVYO NINAVYOONA WEWE JE ?