ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
acha uchoyo ww vya wezako unakula vya kwako unalia gizani
Ni kweli mdau wakati sie "hatuuzi Samaki" sie ni meatfish! We are not Selfish!
kumbe tupo wengi,ila me nkipata chance ya comp natoa likes ya kufariki mtu. Pamoja sana shostito!
ah mi na pinda.. hahaha siku hyo ntashinda ndani siku nzima.!! vp lakin, umefanikiwa kuingia ndan.??
likes given zero,received 209....haya bana,sijui nimekusahuje kwenye thread yangu ya 'likes hazilipiwi LUKU,ngoja nikamtoe Angelmsofe nikuweke wewe.Jamani kuna watu wanalalamika sitoi likes na wakati mimi napewa..the thing is ninatumia jf mobile na hakuna kitufe cha like!wote wenye dukukuduku nadhani nimejibu swali lenu!
Mkuu Ruhazwe, ameandika hapa kuwa kuna option ya Desktop (kwa simu zenye akili); ukigonga kwenye D/top unaweza ku-like au ku rate thread; tatizo liko wapi?
Jamani kuna watu wanalalamika sitoi likes na wakati mimi napewa..the thing is ninatumia jf mobile na hakuna kitufe cha like!wote wenye dukukuduku nadhani nimejibu swali lenu!