Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
Wakuu najua wengi haswa wakazi wa DSM iwa mnafuatilia kwa makini maenyesho ya saba saba katika viwanja Mwl J.K Nyerere Mtoni..watoto kwa wakubwa ni muda muafaka wakwenda kuenjoy yataanza rasmi kesho.
Jamani aandaeni mikwanja hiyo kwa ajili ya 7 7 ndo hiyo kesho tarehe 1 July watu wanaanza kumiminika kule kuangalia Simba na wanyama wengine. Banda la Maliasiri kila mwaka linaongoza lakini kwa nini Maliasiri inafanya vibaya sana in reality?
Jamani aandaeni mikwanja hiyo kwa ajili ya 7 7 ndo hiyo kesho tarehe 1 July watu wanaanza kumiminika kule kuangalia Simba na wanyama wengine. Banda la Maliasiri kila mwaka linaongoza lakini kwa nini Maliasiri inafanya vibaya sana in reality?