Huyu kijana nawashauri tumpuuze kabisa amekua kama msemaji wa serikali na kuleta assumptions ambazo hazitekelezeki,ukomavu wenu maDr unafaa kuigwa sana kwani mlijipanga sana wakuu,all the best
ndugu madaktari ili munalopipanga linanitia shaka,nimesikia hata watakaorudi kazini wameahidi kufanya kazi kwa uzembe wa hali ya juu,kwa ili mnaamua kutuua sie maskini,sawa kulazimishwa si suluhu ila bora muendelee kugoma kuliko mgomo baridi!
Ni boya fulani hivi anayependa sana umaarufu usio rasmi hasa anapochangia anataka watu wampe usikivu na kuchangia mada zake hata kama ni za kipuuzi hasa zile ambazo analipwa na Lowassa lazima ajitokeza na kama unataka kumjua vizuri ki uhalisi anzisha Thread inayomhusu au kumgusa Lowassa na suala la ufisadi lazima ataibuka popote hata kama yuko chooni atakatisha ili aje kuchangia mada na kumtetea bosi wake.
Kifupi ni kwamba ana mambo mengi ya kipuudhi tofauti na siku za nyuma nilifikiri ni mtu makini lakini kumbe ni kama ritz,malaria sugu,tropical,kishongo,Faiza Foxy na wengine ambao wako kwenye payroll ya kuchafua hali ya hewa kwenye thread za maana zenye masilahi ya wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.