Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Run as fast as you can MwanaCHADEMA mwenzangu.Kweli sasa nimeamini kuwa ukishajiweka upande wa maCCM katika jambo lolote lile uwezo wako wa kufikiri la zima ushuke tu.Nashangaa unamshangaa yule Mama wa Rwanda kuwa Waziri Mambo ya Nje,Je JK wakati huo akiwa katika Wizara hiyo alisomea nini?
Duh kwani JK aliweza sana?Si ndiyo maana tunataka kuwaondoa mkuu?