Rwandan Foreign Minister: Kikwete could be an FDLR sympathiser

Mkuu hapa anatakiwa kujibu Membe au Sitta?, anyway nimeona kuna thread humu ndani inasema PK atafunguka leo jioni, ngoja tuone kama atamjibu mkuu mwenzake, sidhani kwa hatua ya sasa Membe au Sitta anatakiwa kusema jambo
Kazi za waziri wa eac sitta ni nini????? Vikao vinafanyika ata kutoa taarifa; toa msimamo wa serikali anakaa kimya; sioni kwa akili yangu anamkomoa jakaya kikwete ila anakomoa watanzania. Rwanda waziri na anajibu kwa niaba ya rais kp
 
Na wewe tafuta busara ni lini Kagame kaingilia nchi yetu, tunachongelea ni DRC na sisi tumepeleka vikosi huko.
sasa km una hamu mwambie afuatilie zile Ng'ombe walizoacha shemeji zake kule Kagera yaani tujue tu km kaingia ndani ya ardhi kijeshi km Nduli wako, maana yeye KAGAME si Commender in Chief wa M23
ndipo hapo tutakapomtaja[/QUOTE]

Una kichwakizito kama KJ! NASEMA KAGAME ANAMFANANISHA JK NA IDD AMINI!!
 
1.We supported Kabila senior since the 60s, after the assasination of Patrice Lumumba. The aim was to establish a Socialist and democratic Congo, with the help of Che Guavara and Cuban Special forces, it didn't work because of the lack of committment from Kabila Troops coupled with CIA and other mercenaries supporting Mobutu. We were involved in the march to Kinshasa and subsequent training of Congo forces for a short period, before Kabila, walked out of the power sharing meeting held at Dar es salaam Sheraton Hotel. We somehow disowned him and RPF took over the military operations under Kabila.

2.Labda ungetuambia, kuhusu Mtikila, ila Ngara,BIHARAMULO na Geita zimekuwa over saturated na illegal immigrants. Siyo Mtikila peke yake hata wakazi wengi wa wilaya hizo wamekuwa wakilalamika .. crimes, land disputes, corruption etc. Something has to be done, dont you think?

3. Kwa watanzania, ni rahisi sana kumjua mhamiaji. Kwa mfano wewe ni mhamiaji, siyo mtanzania. We can easily spot them, ukiwa mtulivu poa, ukileta chokochoko huwa tunakuwa na roho mbaya sana, naomba mungu aepushie mbali.

4. Kuhusu mgogoro, we USED TO love and admire Kagame as a no nonsense president, he curbed corruption and helped change Rwanda a lot, we wanted a president like him. We used to (just few months ago) think that he's just like one of our own, we harbored RPF fighters. Kagame speaks good swahili na hata kwata za RPF zinapigwa kiswahili, wewe unadhani kuna kwata ya kitusi kwenye trainings za M23?, RPF?, NRA? .... HATA MAHI MAHI NA iNTERAHAMWE KWATA ZAO siyo za kiswahili.
Tunajua kuwa tumewatrain RPF, directly or indirectly, tumewakalisha na Habraymana na tumewafavor RPF from day one. Museveni is our own too, JWTZ, RPF na NRA NI brothers at arms kama walivyo FRELIMO na MPLA na SWAPO au hata ZANU fighters.... why would we want anything bad to happen to Rwandese??

AMEHARIBU NA AMEPOTEZA Heshima iliyokua mioyoni mwa watanzania, Tanzania is the most patriotic, the most Pan Africanist and above all those, the most blessed geographically and tactically to smash any surrounding "Districts" that dare disrespect, cause harm and/or move an inch of our borders ..... what makes it dangerous is, we know that and we grew up knowing that.

YOU GUYS NEED TO REALLY CHECK YOURSELVES, TALK TO YOUR COUNTRYMEN ..

Kobello,

Nimependa majibu yako. Ulipokosea tu ni pale unaponiita mhamiaji...niombe radhi kwa hilo! pm for further details if you wish.

1) Cha msingi sana ktk maelezo yangu nimehitaji time frame ili nijue misingi ya yanayoendelea sasa. Mfano, najua wahamiaji haramu ni tatizo ktk mikoa hiyo na nivyema kufanyike hatua mathubuti but the logic behind is why now and not in the past? Is the operation a retaliation to pk? if that is the case how fair it will be and the likeliness of that operation provoking the war between the two nations. I also wanted to know the link of Mtikila' findings and the current operations-which you technically escaped!

2) If you do not want any thing bad to Rwandise as they would wish to Tanzanians why then thinking of entering into war? Are'nt there other ways of settling our disputes peacefully?

3) Nimehoji sana ktk threads nyingine alichokifanya jk kwa muda wake wa miaka 10 akiwa waziri wa mambo ya nje na miaka 6 sasa ktk urais juu ya mgogoro wa waasi Rwanda na serikali ya pk. Kama hakuna historia ya upatanishi wa mgogoro huo then kwa nini kama Tanzania inataka kuingilia mgongoro huo isitumie mbinu za kidiplomasia? Sina huakika alichokifanya jk ads kilikuwa ktk mlengo huo.

4) I repeat, mgogoro huu si wakufikiria vita unless kunasababu za msingi (kejeri na matusi) hazijawa sababu za msingi otherwise wamarekani wangelimchapa Rais mstaafu wa Iraki na Chaves wa Venuzuela.
 
Kiasi Kikwete ajibiwe maana Tanzania kuna madudu hayasemeki lakini wanafutika na kujitia kimbelembele kuyaingilia mambo yasiyotuhusu wakati sisi wenyewe mikono yetu imejaa damu za akina Mwangosi, kibanda, Wa-Zanzibari, WaArusha, WaTarime na nyengine nyingi
 
After Kikwete's speech, Rwandan Foreign Minister Louise Mushikiwabo was quoted by Radio France Internationale (RFI) suggesting Kikwete could be an FDLR sympathiser and was adamant that Rwanda would not negotiate with people it considers responsible for the 1994 genocide against Tutsis.

Ethnic Hutu militia and soldiers butchered 800,000 minority Tutsis and politically moderate Hutus in the tiny east African country in just 100 days between April and June 1994. Kikwete said he had been a target of insults and ridicule from Rwandan leaders, while also hearing a lot of "alleged plots" against Tanzania and himself. He did not elaborate.

"I would like to reiterate that neither I nor my government have any conflict nor any ill intentions towards Rwanda," he said.
A 17,000-strong U.N. force, known as MONUSCO, and Congo troops have struggled over the past decade to stem a conflict involving dozens of armed groups and complicated by national and ethnic rivalries. A new 3,000-member U.N. Intervention Brigade was recently deployed to fight and disarm rebels in the east.

(Writing by Drazen Jorgic; Editing by Alistair Lyon)
Lousie Mushikiwabo apewe kusoma diplomasia chuo cha diplomasia kurasini maana hana adabu ya kidplomasia. Hivi kesho akijikuta mkimbizi ngara atasemaje kwa tanzania?
 
1.We supported Kabila senior since the 60s, after the assasination of Patrice Lumumba. The aim was to establish a Socialist and democratic Congo, with the help of Che Guavara and Cuban Special forces, it didn't work because of the lack of committment from Kabila Troops coupled with CIA and other mercenaries supporting Mobutu. We were involved in the march to Kinshasa and subsequent training of Congo forces for a short period, before Kabila, walked out of the power sharing meeting held at Dar es salaam Sheraton Hotel. We somehow disowned him and RPF took over the military operations under Kabila.

2.Labda ungetuambia, kuhusu Mtikila, ila Ngara,BIHARAMULO na Geita zimekuwa over saturated na illegal immigrants. Siyo Mtikila peke yake hata wakazi wengi wa wilaya hizo wamekuwa wakilalamika .. crimes, land disputes, corruption etc. Something has to be done, dont you think?

3. Kwa watanzania, ni rahisi sana kumjua mhamiaji. Kwa mfano wewe ni mhamiaji, siyo mtanzania. We can easily spot them, ukiwa mtulivu poa, ukileta chokochoko huwa tunakuwa na roho mbaya sana, naomba mungu aepushie mbali.

4. Kuhusu mgogoro, we USED TO love and admire Kagame as a no nonsense president, he curbed corruption and helped change Rwanda a lot, we wanted a president like him. We used to (just few months ago) think that he's just like one of our own, we harbored RPF fighters. Kagame speaks good swahili na hata kwata za RPF zinapigwa kiswahili, wewe unadhani kuna kwata ya kitusi kwenye trainings za M23?, RPF?, NRA? .... HATA MAHI MAHI NA iNTERAHAMWE KWATA ZAO siyo za kiswahili.
Tunajua kuwa tumewatrain RPF, directly or indirectly, tumewakalisha na Habraymana na tumewafavor RPF from day one. Museveni is our own too, JWTZ, RPF na NRA NI brothers at arms kama walivyo FRELIMO na MPLA na SWAPO au hata ZANU fighters.... why would we want anything bad to happen to Rwandese??

AMEHARIBU NA AMEPOTEZA Heshima iliyokua mioyoni mwa watanzania, Tanzania is the most patriotic, the most Pan Africanist and above all those, the most blessed geographically and tactically to smash any surrounding "Districts" that dare disrespect, cause harm and/or move an inch of our borders ..... what makes it dangerous is, we know that and we grew up knowing that.

YOU GUYS NEED TO REALLY CHECK YOURSELVES, TALK TO YOUR COUNTRYMEN ..

Kobello,

Nimependa majibu yako. Ulipokosea tu ni pale unaponiita mhamiaji...niombe radhi kwa hilo! pm for further details if you wish.

1) Cha msingi sana ktk maelezo yangu nimehitaji time frame ili nijue misingi ya yanayoendelea sasa. Mfano, najua wahamiaji haramu ni tatizo ktk mikoa hiyo na nivyema kufanyike hatua mathubuti but the logic behind is why now and not in the past? Is the operation a retaliation to pk? if that is the case how fair it will be and the likeliness of that operation provoking the war between the two nations. I also wanted to know the link of Mtikila' findings and the current operations-which you technically escaped!

2) If you do not want any thing bad to Rwandise as they would wish to Tanzanians why then thinking of entering into war? Are'nt there other ways of settling our disputes peacefully?

3) Nimehoji sana ktk threads nyingine alichokifanya jk kwa muda wake wa miaka 10 akiwa waziri wa mambo ya nje na miaka 6 sasa ktk urais juu ya mgogoro wa waasi Rwanda na serikali ya pk. Kama hakuna historia ya upatanishi wa mgogoro huo then kwa nini kama Tanzania inataka kuingilia mgongoro huo isitumie mbinu za kidiplomasia? Sina huakika alichokifanya jk ads kilikuwa ktk mlengo huo.

4) I repeat, mgogoro huu si wakufikiria vita unless kunasababu za msingi (kejeri na matusi) hazijawa sababu za msingi otherwise wamarekani wangelimchapa Rais mstaafu wa Iraki na Chaves wa Venuzuela.
Hakuna anayetaka vita mkuu. Hii imewekwa wazi kwenye hotuba mbalimbali.

Ila, tuna kumbukumbu jinsi Idd Amin alivyoanza kwa kejeli na telegrams za kitoto, tunakumbuka jinsi Taliban ilivyoingia madarakani baada ya msichana mdogo wa ki-paSHTUN alipobakwa, machafuko ya Kenya baada ya vimaneno redioni ... etc.

Kagame is confused, and that shouldn't be taken lightly. Ukiangalia ile hotuba ya "I will hit you", utaona kabisa kuwa jamaa ameanza kuwa heavy drinker, anaongea luggishly na anacheua every coupled of minutes na hiyo siyo tunavyomjua our "dear Capitaine".

He is loosing it. And that make us nervous, and when we get nervous, thats when some crazy shit starts to happen.
" I PRAY FOR PEACE".
 
Baadhi yetu tulishasema mapema kuwa RPF na Paul Kagame ni hatari kwa eneo hili la KANDA ya maziwa makuu. Hapana shakka yoyote ile kuwa PK ni dictator na murderer. Mikono yake imejaa damu. HaKuna shaka kabisa kuwa ikiwa PK ataachiwa aendelee hivi bila 'kuchukuliwa hatua' tuko hatarini kwa suuala la amani.

Je, mnafahamu ni nani alimuua Laurent Kabila? Ni nani aliwaua kwa kutungua ndege iliyombeba Habyarimana na Rais wa Burundi? Ni nani alimuua kiongozi wa kwanza wa RPF? Sasa PK amemtishia maisha JK, tena bila hata aibu. Miezi michache kabla ya Laurent Kabila hajauawa, PK alitoa vitisho kama hivyo. Hivi PK ana tofauti na waliofanya genocide ya mwaka 1994?

Watanzania itabidi sasa tuwe macho. Nchini mwetu kwa sasa wako symphasizers wengi wa PK na Rwanda. Baadhi wamo mpaka serikalini na wengine mpaka kwenye vyombo vya dola. Ni hatari. PK ni lazima awaajibishwe.

Kimahesabu ni rahisi kuuondoa utawala wa PK. Unashamb ulia kugtoka pande tatu au nne. Unashambulia kutoka Congo, Tanzania na Burundi na pengine kutoka Uganda ingawa Museveni haaminiki. Haiwezekani watu milioni moja na nusu watawale watu milioni nane.

Umenena kweli ndugu.. kagame is full of human blood in his hands. Nia yke ni kutengeneza bahima empire ndo mana analeta chokochoko huko Kongo. Na nia yke ni kuleta hapa TZ hayo anayoyafanya huko DRC kwa sasa...that dream will never come true kwa TZ. Ni kweli WaTZ twahitaji kuwa makini sana na watutsi..ni watu waliojaa hila za kishetani..waliotayari kuuwa ili mradi wawepo madarakani. Ni waongo na wapiga propaganda wazuri...mfano walisababisha genocide ambayo watu wengi (both hutu and tutsi) walikufa...lkn angalia sasa wamegeuzia kibao wenzao wahutu. Sasa hivi wamekua wakikataa kwa nguvu zote kuwa the rwanda govt doesnt assist m23 in DRC..but the whole world knows they are doing so. Ni watu waliokosa aibu ya kusema uongo. Ila sasa hivi wameumbuka...hawana pakushika tena.
 
Mungu atuepushie vita katika nchi yetu ya Tanzania na atulize vita zinazo endelea katika nchi zingine. Vita vinaleta madhara makubwa sana, watu wanakufa, wanakua vilema, uchumi una anguka. Panapotokea tetesi la vita basi kuna watu/makampuni ya nje wanao shangilia jambo hilo, ni hao wanao uza silaha, na hao wanao subiria kuichuna nchi baada ya uchumi kuanguka. Kila risasi inavyo fyatuliwa kuna mtu anakua tajiri, yule muuzaji wa silaha, kwa hiyo yeye anafurahia sana jambo hilo la vita. Na pia nchi za nje zinakuja kununua resource zetu tulio kuwa nazo kwa bei ya kutupa. Viongozi wetu wanapashwa kulijua jambo hilo, yes Nadhani wanalijua lakini wao hawa jali kwani siku wakishindwa wana kimbilia huko walikoziweka mali zao na kuishi kama kawaida, Je wewe askari uliopigana utakua na kitu gani, utabaki na nini? Sasa leo hii Kagame hataki ushauri alio pewa, basi inamaana yeye amedhamiria kulipiza kisasi kwa watu Wake alio wapoteza. Yeye anaona is okey kununua silaha na kuwa tajirisha hao wauza silaha. Karne hii sio ya kupigana kwa SILAHA. ni ya kupigana kwa MANENO. Watanzania tuungane na kuudumisha amani tuliokuwa nayo.
 
kwa hili la kagame sasa liwe fundisho nchi yetu ipo hatarini sana, maana inao wanyarwanda wengi katika system most of them naming themselves wahaya, utashangaa wengine wapo usalama wa taifa, hawa wanapeleka taarifa kwa kagame na ndiyo maana anapata jeuri ya kumjibu Kikwete na tanzania.
tunao mfumo mbaya sana wa kuajiri na kuwapatia watu nafasi nyeti za uongozi bila kujua historia zao siku moja ili litatutesa.
nakumbuka tulikuwa tunasoma na jamaa mmoja akijiita muhangaza, mara tu baada ya rwand kulipuka 1994 jamaa alipotea ghafla na nilikuja kutana nae 2008 akiwa ofisa mkubwa katika jeshi la rwanda by then tulikuwa form II, tujiangalie sana anayoyasema kagame ujasiri wake si wa bure unajengwa na watu tulionao kwenye system ya utawala mnao waita watanzania kumbe ni wanyarwanda tena watutsi.
 
"
Tatizo humu jamvini tumechanganyikana na Wanyarwandwa waliotumwa na kagame wewe Mvuni ni mmoja wao tunaongelea mambo kati ya nchi mbili tofauti, tunajua udhaifu wa ndani lakini anachofanya ndugu yako kagame siyo wewe muache abeep matatizo watu kama wewe tunaomba muwahi kuvuka mipaka mwende Rwanda fasta!
 
Ben huwa nasoma na kufurahishwa na ujenzi wa hoja zako.

Mintaarafu dai hili, nimekuwa nakusoma sana katika suala la Kagame vs. JK na kugundua kwamba wakati mwingine 'uzalendo' ukiwekwa sukari nyingi unaweza ukageuka kuwa mchungu. Kwa watu wanaofuatilia kwa makini utendaji wa Mhe Rais Dr. JK katika nafasi yake ya urais (na sio vinginevyo) na wanataka kuwa wakweli watakubaliana kuwa anayo sehemu kubwa ya udhaifu. Kila binadamu ana udhaifu wa aina fulani. Kwa hivyo kusema Mhe JK ana udhaifu fulani sio dhambi wala kitu cha ajabu.

Kuhusu suala hili la Kagame vs JK, nimegundua kitu kimoja kikubwa kwamba sisi Wabongo ndio tunafikiria tu binadamu pekee wenye hisia na wengine ni 'marobot'! Nikizingatia kauli ambazo Mhe Rais Dr JK amewahi kuzitoa hadharani kuhusu masuala yetu ya humu humu ndani ya nchi na kutuacha baadhi yetu midomo wazi - mfano, "watoto wa shule wanaopata mimba wanazipata kwa sababu ya kiherehere chao" - kwa nini tusifikirie kuwa kauli aliyotoa kuhusu mgogoro wa ndani ya Rwanda nayo inaweza kuwaacha wanyarwanda 'midomo wazi'?

Kwa sababu nao ni binadamu wenye hisia kama tulivyo sisi wabongo. Hili sio sula la 'uzalendo' bali ni suala la 'umakini katika utawala'. Udhaifu wa JK umetumeza sote na tunafungia akili zetu katika makabati! Wanyarwanda may have a point - let's take a step back and give the whole issue a serious thought rather than being dragged into 'udhaifu' zone.

This is absurd. Yaani mkuu umetunga assay kwa kutumia mishaps za JK ili utuambukize chuki zako binafsi kwa JK. Tell us where JK went wrong on Rwanda issue. Judge him on that, only that. Don't go into garbage bin digging some dirty to prove that JK is wrong on Rwanda. If you have issues with JK start a specific thread on that and I am pretty much sure you will get some contributions from crying babies.

Don't wrap-up your non-patriotic argument by only saying we should take a step back without elaboration of the points to be considered with regards to the issue in question. Tell the great thinkers of JF where you think JK went wrong on Rwanda issue. So what are you saying; that Kagame has had no mishaps in his administration? That he has not consistently shown some weaknesses and wrong doings that qualify him insane? How many people Kagame kills per day, how many Kikwete kills? You do the math. How many Rwandese refugees abroad has Kagame caused? Travel to the US and Canada and tell me if Kagame has united the Tutsi and Hutus living in those country or see if the two tribes abroad have become friendlier during Kagame administration. So you still think Kagame is sane? We are told now that he kills anyone found to have some affiliation with Tz government officials in his army and government. Is JK killing any person that opposes him? Why should we question JK's ability to govern?

Kagame, for your information, never liked Tz since he got his gun bring him to power. This is due to the fact that Tz supports DRC in her struggle to free from foreign troops especially m23. Kagame believes that he can stay in power as long as m23 fight from DRC land. These are facts, facts that have nothing to do with JK's ability to govern Tz. So when you call for right minded JF members to question JK on Rwanda issue you just mark the lowest you can go. For, the impending war between Tz and Rwanda is historically rooted. It is irrespective of who rules Tz but Rwanda, if you wanna put it differently. The same goes for Malawi issue.
 
This is absurd. Yaani mkuu umetunga assay kwa kutumia mishaps za JK ili utuambukize chuki zako binafsi kwa JK. Tell us where JK went wrong on Rwanda issue. Judge him on that, only that. Don't go into garbage bin digging some dirty to prove that JK is wrong on Rwanda. If you have issues with JK start a specific thread on that and I am pretty much sure you will get some contributions from crying babies.

Don't wrap-up your non-patriotic argument by only saying we should take a step back without elaboration of the points to be considered with regards to the issue in question. Tell the great thinkers of JF where you think JK went wrong on Rwanda issue. So what are you saying; that Kagame has had no mishaps in his administration? That he has not consistently shown some weaknesses and wrong doings that qualify him insane? How many people Kagame kills per day, how many Kikwete kills? You do the math. How many Rwandese refugees abroad has Kagame caused? Travel to the US and Canada and tell me if Kagame has united the Tutsi and Hutus living in those country or see if the two tribes abroad have become friendlier during Kagame administration. So you still think Kagame is sane? We are told now that he kills anyone found to have some affiliation with Tz government officials in his army and government. Is JK killing any person that opposes him? Why should we question JK's ability to govern?

Kagame, for your information, never liked Tz since he got his gun bring him to power. This is due to the fact that Tz supports DRC in her struggle to free from foreign troops especially m23. Kagame believes that he can stay in power as long as m23 fight from DRC land. These are facts, facts that have nothing to do with JK's ability to govern Tz. So when you call for right minded JF members to question JK on Rwanda issue you just mark the lowest you can go. For, the impending war between Tz and Rwanda is historically rooted. It is irrespective of who rules Tz but Rwanda, if you wanna put it differently. The same goes for Malawi issue.

Ndugu, I cant thank you more for hitting a nail on the right place! Sijui watu wengine wanawaza nn vichwani mwao!? When it comes to issues of National interest we should firmly and patriotically stand with our Leader. Kagame is a killer but GOD is about to judge him sooner...
 
Ukweli utatuweka huru. Rais wangu JK anatakiwa kumtaka radhi Rais Paul Kagame baadala ya kurushiana matusi. Ni vipi anayeibiwa aambiwe wayamalize na mwizi wake? nadhani Rais wangu kwa ushawishi alio nao alitakiwa kwenda upande wa pili kuwataka wapatane na Kagame,au alitakiwa kuja na proposal kwa Kagame ya jitihada zake za upatanishi kwa namna alivowashawishi waasi. Lakini pia kama alitaka kumshauri Paul Kagame alitakiwa kukutana naye waongee wenyewe. Mwisho nimwombe Rais wangu JK asigeuze tofauti zao wawili kuwa tofauti za nchi hizi mbili. Hakukuwa na sababu ya JK kutuambia watanzania mipasho mnayopeana na PK kabla ya kutuambia ufumbuzi wa milipuko ya mabomu,kumwagiana tindikali,watu kung'oana meno na kucha,watu kupigwa bastola mchana kweupe,Waziri mkuu kuagiza raia wapigwe na police ukiachilia mbali pengo la walio nacho na wasionacho linavokuwa kwa kasi,ufisadi,kuporomoka kwa elimu nk
 
Ben huwa nasoma na kufurahishwa na ujenzi wa hoja zako.

Mintaarafu dai hili, nimekuwa nakusoma sana katika suala la Kagame vs. JK na kugundua kwamba wakati mwingine 'uzalendo' ukiwekwa sukari nyingi unaweza ukageuka kuwa mchungu. Kwa watu wanaofuatilia kwa makini utendaji wa Mhe Rais Dr. JK katika nafasi yake ya urais (na sio vinginevyo) na wanataka kuwa wakweli watakubaliana kuwa anayo sehemu kubwa ya udhaifu. Kila binadamu ana udhaifu wa aina fulani. Kwa hivyo kusema Mhe JK ana udhaifu fulani sio dhambi wala kitu cha ajabu.

Kuhusu suala hili la Kagame vs JK, nimegundua kitu kimoja kikubwa kwamba sisi Wabongo ndio tunafikiria tu binadamu pekee wenye hisia na wengine ni 'marobot'! Nikizingatia kauli ambazo Mhe Rais Dr JK amewahi kuzitoa hadharani kuhusu masuala yetu ya humu humu ndani ya nchi na kutuacha baadhi yetu midomo wazi - mfano, "watoto wa shule wanaopata mimba wanazipata kwa sababu ya kiherehere chao" - kwa nini tusifikirie kuwa kauli aliyotoa kuhusu mgogoro wa ndani ya Rwanda nayo inaweza kuwaacha wanyarwanda 'midomo wazi'?

Kwa sababu nao ni binadamu wenye hisia kama tulivyo sisi wabongo. Hili sio sula la 'uzalendo' bali ni suala la 'umakini katika utawala'. Udhaifu wa JK umetumeza sote na tunafungia akili zetu katika makabati! Wanyarwanda may have a point - let's take a step back and give the whole issue a serious thought rather than being dragged into 'udhaifu' zone.

Mbona mpiga zee anaongea kama mnyarwanda....kule kurejea rejea "sisi wabongo" naona kama ni kujitoa kimaso maso ili aonekane mtanzania, ilhali ni mnyarwanda mwenye nia ya kutuparaganya! Inawezekanaje kulinganisha issue ya watoto wa shule na issue hii inayojadiliwa....anatulazimisha tufikirie issue nyingine na tusahau uzalendo!!
 
Membe alisomea International Relations.JK hakusomea na ali-mess.Taaluma za watu ziheshimiwe.Leave US out maana wana policy ya mambo ya nje ambayo ni clear na ni pilot.Makamu wa Rais ni bingwa wa sera za mambo ya nje na anabeba majukumu mazito.Tusijichanganye!

Miaka kumi mfululizo (yes, Ten Continuous Years) Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania. ina maana moja tu, kuwa hajaboronga kipindi chote hicho na kafanya vizuri sana. mpaka anakabidhiwa hii nchi ndipo alipokabidhi huo uwadhifa kwa mwingine.

Isitoshe, leo hii tunashuhudia jinsi alivyo mwana diplomasi hodai na mahiri wa kusifika. Rais wa Mwisho kumuaga Bush kwa ziara ya Kitaifa kabla ya kumaliza uongozi wake na Rais wa kwanza kutoka Afrika kukaribishwa rasmi na Rais Obama mara baada ya kutwaa madaraka.

Isitoshe, tunaona wimbi la wakuu wa dunia wakimiminika Tanzania na tunaona wimbi la wakuu wa dunia wakimualika Kikwete kila pembe ya dunia. Madogo hayo?

Hata kama una chuki binafsi na Kikwete kwa hili la diplomasia, "ume bugi maaaan".
 
Back
Top Bottom