kibananhukhu
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 366
- 161
Rwanda wanafanya vizuri sana, lakini ukilitazama suala la maendeleo kwa muda wa kati na muda mrefu, Tanzania iko juu sana
Tmezoea kuishi kwa mikopo na kuombaomba huku kila siku wananchi wanalipa kodi na huduma za msingi za jamii nzima zinakosekana.aaah mkuu Joseph sasa hayo majaribu nchi gani itaendelea bila mikopo bwana!