Dunia na Afrika Mashariki waiangalie Rwanda kama nchi ya miaka 25-30 ijayo, isihangaike na mtu mmoja tu anayeiongoza kwa sasa

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,003
20,681
Nadhani hii ndio strateji sahihi.

Dunia na Afrika Mashariki wawe na mtazamo mpana zaidi. Wasimuangalie mtu, waangalie nchi. Huyu mtu anapita tu, na ndani ya miaka 30 ijayo hatakuwa alipo. Sasa ana miaka sabini, hakika hawezi kuongoza Rwanda akiwa na umri wa miaka 100.

Tunamuona anafoka foka na kujifanya mwamba, nchi inaongozwa kitaasisi.

Uchaguzi wa CongoDr ni bora kuliko wa Rwanda kwa kuwa wanapokezana, kwa hiyo watadumu kama nchi kwa muda mrefu. Huyu anayejiweka mbele kila siku, siku ikifika, hana namna, na nchi itakuwa haina namna.

Tumuache aseme "mimi ... Mimi" halafu nchi nyingine ziongee kama nchi, sio mtu binafsi. Nchi isimame, awepo fulani au asiwepo. Nchi ni taasisi
 
Nadhani hii ndio strateji sahihi.

Dunia na Afrika Mashariki wawe na mtazamo mpana zaidi. Wasimuangalie mtu, waangakie nchi. Huyu mtu anapita tu, na ndani ya miaka 30 ijayo hatakuwa alipo. Sasa ana miaka sabini, hakika hawezi kuongiza Rwanda akiwa na umri wa miaka 100.

Tunamuona anafoka foka na kujifanya mwamba, nchi inaongozwa kitaasisi. Uchaguzi wa CongoDr ni bora kuliko wa Rwanda kwa kuwa wanapokezana, kwa hiyo watadumu kama nchi kwa muda mrefu. Huyu anayejiweka mbele kila siku, siku ikifika, hana namna, na nchi itakuwa haina namna.

Tumuache aseme "mimi ... Mimi" halafu nchi nyingine ziongee kama nchi, sio mtu binafsi. Nchi isimame, awepo fulani au asiwepo. Nvhi ni taasisi
If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds” -
 
Hakuna mgao wa umeme Rwanda Mazezeta mwisho Rusumo kuja huku Dar.
 
Fikra nzuri hazijadili mtoa hoja bali hoja yenyewe.
Habari ya kumjadili mtoa hoja ni hoja nyingine tofauti yenye mijadala iliyojitenga na ule wa wenye mali kuwa omba omba.
 
Nadhani hii ndio strateji sahihi.

Dunia na Afrika Mashariki wawe na mtazamo mpana zaidi. Wasimuangalie mtu, waangakie nchi. Huyu mtu anapita tu, na ndani ya miaka 30 ijayo hatakuwa alipo. Sasa ana miaka sabini, hakika hawezi kuongiza Rwanda akiwa na umri wa miaka 100.

Tunamuona anafoka foka na kujifanya mwamba, nchi inaongozwa kitaasisi. Uchaguzi wa CongoDr ni bora kuliko wa Rwanda kwa kuwa wanapokezana, kwa hiyo watadumu kama nchi kwa muda mrefu. Huyu anayejiweka mbele kila siku, siku ikifika, hana namna, na nchi itakuwa haina namna.

Tumuache aseme "mimi ... Mimi" halafu nchi nyingine ziongee kama nchi, sio mtu binafsi. Nchi isimame, awepo fulani au asiwepo. Nvhi ni taasisi
Na akiondoka leo,au Mungu akimchukua hiyo nchi itapata tabu sana kwa mapinduzi yasiyokwisha,hakuna rangi wataiacha,hajaacha legacy chanya
 
Nadhani hii ndio strateji sahihi.

Dunia na Afrika Mashariki wawe na mtazamo mpana zaidi. Wasimuangalie mtu, waangakie nchi. Huyu mtu anapita tu, na ndani ya miaka 30 ijayo hatakuwa alipo. Sasa ana miaka sabini, hakika hawezi kuongiza Rwanda akiwa na umri wa miaka 100.

Tunamuona anafoka foka na kujifanya mwamba, nchi inaongozwa kitaasisi. Uchaguzi wa CongoDr ni bora kuliko wa Rwanda kwa kuwa wanapokezana, kwa hiyo watadumu kama nchi kwa muda mrefu. Huyu anayejiweka mbele kila siku, siku ikifika, hana namna, na nchi itakuwa haina namna.

Tumuache aseme "mimi ... Mimi" halafu nchi nyingine ziongee kama nchi, sio mtu binafsi. Nchi isimame, awepo fulani au asiwepo. Nvhi ni taasisi
IMG-20240130-WA0033.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani hii ndio strateji sahihi.

Dunia na Afrika Mashariki wawe na mtazamo mpana zaidi. Wasimuangalie mtu, waangakie nchi. Huyu mtu anapita tu, na ndani ya miaka 30 ijayo hatakuwa alipo. Sasa ana miaka sabini, hakika hawezi kuongiza Rwanda akiwa na umri wa miaka 100.

Tunamuona anafoka foka na kujifanya mwamba, nchi inaongozwa kitaasisi. Uchaguzi wa CongoDr ni bora kuliko wa Rwanda kwa kuwa wanapokezana, kwa hiyo watadumu kama nchi kwa muda mrefu. Huyu anayejiweka mbele kila siku, siku ikifika, hana namna, na nchi itakuwa haina namna.

Tumuache aseme "mimi ... Mimi" halafu nchi nyingine ziongee kama nchi, sio mtu binafsi. Nchi isimame, awepo fulani au asiwepo. Nvhi ni taasisi
Penye ukweli ni bora isemwe bila chenga.
 
Hakuna mgao wa umeme Rwanda Mazezeta mwisho Rusumo kuja huku Dar.
Probably matumizi ya umeme ya Rwanda
Hayazidi Yale ya wilaya ya Temeke alone.

Sasa mgao utatoka wapi.

Umeme uko Kigali tu wanakoishi watutsi wengi.

Huko ndichi walikojazana wahutu umeme upo!?
 
Probably matumizi ya umeme ya Rwanda
Hayazidi Yale ya wilaya ya Temeke alone.

Sasa mgao utatoka wapi.

Umeme uko Kigali tu wanakoishi watutsi wengi.

Huko ndichi walikojazana wahutu umeme upo!?
Hoja muflis sana na huenda hata hujawahi kufika Rwanda ila umeambukizwa chuki na Wakimbizi wa Kihutu kutoka Rwanda.

Kwa taarifa yako kutokea Rusumo hadi Kigali tembea usiku umeme unawaka.

Au unataka nianze kukutajia Vijiji vya Waturage kimoja baada ya kingine?!

Acha chuki binafsi dhidi ya Watutsi Wabantu wenzetu.
 
Back
Top Bottom