babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,113
- 16,024
warwanda wanakimbilia tz,,uganda na europe nyie ukimbizi wenu mnaenda rwanda tena sie yetu macho,bada ya muda mtaomba kurudi maana huko hakutabiriki
wanataka Chabala aka Katerero na wanaamini kuwa wanaume wa kinyarwanda pekee ndio wanaojua mchezo huo...
Tatizo mianaume ya kibongo sura mbaya, majivuno,, mihuni, miongo!! wapi na wapi!
Ni kweli ina sura mbaya kama mijike ya kibongo!Tatizo mianaume ya kibongo sura mbaya, majivuno,, mihuni, miongo!! wapi na wapi!
Warwanda nao wanakimbilia Beligique.Sielewi unaposema mambo safi
Hellow JF members!!, Nimepata Kibarua Rwanda, kwakweli ninafurahia kusoma kwangu na ninawashukuru wazazi wangu kwa kunihimiza kusoma na kwa kunifacillitate!!. Ninafanya kazi ktk mazingira mazuri, ninathaminiwa utu na utaalamu wangu, mshahara wangu ni mzuri sana mara tatu ya mshahara wanaolipwa watu wenye taaluma kama yangu hapa TZ. Na zaidi, mhh!! yale mambo yetu yale!! Yani kuna viburudisho bomba mbaya!! watoto wazuri hakuna mfano!!. Any way la msingi, karibuni tufanye kazi!!
Hizi sura na kazi vinauhusiano gan na ufanyaji wa kazi?. Naomba ufafanuzi juu ya elimu yako na kazi ufanyayo
Nilikua napita 2 ila email yako itasaidia
huyu ndo papaa fataki? ndo kasumba yake yake hiyo, malaya mkubwa tu. kwanza atutajie taaluma yake, na ofisi anayofanyia kazi
Hellow JF members!!, Nimepata Kibarua Rwanda, kwakweli ninafurahia kusoma kwangu na ninawashukuru wazazi wangu kwa kunihimiza kusoma na kwa kunifacillitate!!. Ninafanya kazi ktk mazingira mazuri, ninathaminiwa utu na utaalamu wangu, mshahara wangu ni mzuri sana mara tatu ya mshahara wanaolipwa watu wenye taaluma kama yangu hapa TZ. Na zaidi, mhh!! yale mambo yetu yale!! Yani kuna viburudisho bomba mbaya!! watoto wazuri hakuna mfano!!. Any way la msingi, karibuni tufanye kazi!!
kweli kabisa,hapo umenena jambo la muhimu sana kwake!Mshukuru Mungu kwanza na kwa yote..
Hizo red ukichanganya then ukawa na mis ya upako wa Mungu. Ngoma inaweza kukutembelea. play fair and responsibly.