Rushwa, Kujuana, Ukabila katika Halmashauri ya Moshi

Woooongoo hata wangoni ni wasouth afrika na wakigoma ni mutu ya kongo, wakurya nao na wanyakyusa ni wa zambia , wamakonde nchumbiji aisee wee una shida.
nilikuwa sijui kumbe mkurya mtu wa zambia, ali chanja mbuga mpaka kufika kaslazini mwa tz na kumwacha mnyakyusa mbeya.
 
Hata Arusha wachaga wamejaa ndio wanaomchagua Lema ,,Safari jii lazima tuwachinjie baharini wametuharibia sana jiji letu
 
Mimi ni mwajiriwa wa halmashauri ya moshi wakuu wa idara karibia wote ni makabila mengine kwa mfano afisa elimu sekondari na msingi sio mchaga.DED sio mchaga na hata afisa utumishi sio mchaga mtoa Mada akajipange sio kuleta upuuziii wako usio na kichwa wala miguuu
 
Acha chuki ziko zisizo na mbele wala nyuma eti Mmachame mbona unajichaganya kwenye maelezo yake.
Wameanzisha ushirikiano wao we we kinakuuma nini na wewe na wa kwenu usianzishe ushirikiano wenu. Yani uwe mchaga uwalaumu tena kwa ushirikiano wao.
Hata wakiwa office moja shida yako nini? Labda kama wame meet qualifications.
We we ni mpenda majungu una chuki zako binafsi baada ya kukosa nafasi ukaona uje umalizie hasira zako hapo kwa kuingiza ukabila na udini.
Fanya kazi acha majungu we we.

Tanua akili yako hata kama ww ni mchaga umoja wa kimakundi ndio mwanzo wa kutenga wengine mbaya zaidi makundi ya kikabila karne hii hatutakiwi kujitenga kimakundi hasa ya kikabila ni ushenzi, mdaua liyetoa hoja hapo juu yupo sahihi, vilevile lazima kuwe na uwioano katika maofisi huwezi jaza kabila moja tu, sikuhizi wasomi ni wengi.
 
Acha kudanganya Umma hakuna Halmashauri inayoruhusiwa kuajiri Officers Cadre imeruhusiwa kada za chini tu,Hao walimu unaosema wameajiliwa Mara ya pili sio kweli hakuna utaratibu wa kumwajiri mtu Mara mbili sema inawezekana walimu hao bachelor degree wamesoma Biashara ie Bachelor of Commerce au nyingine inayoshabiana na Hvyo wameomba kubadilishiwa muundo wa Utumishi kwa mujibu wa scheme of service ya wa 2002 pamoja nyaraka mbalimbali zilizopo zinazoruhusu mtumishi wa Umma kufanyiwa (Recategorization) khs hilo la BVR kama unaona hujatendewa haki na una uwezo Muone DED mbona kazi zenyewe hamuwezi mnanga'ng'ania tu. Angalizo uwe unaposti kitu ambacho unakijua sio kukurupuka tu.

Anaweza kazi? au kutwa kulalamika tuu shule wanakimbia wanataka kufunga milegezo kuvaa nusu uchi alafu aingie ofisi za umma, swain. aweke cv yake hapa kwanza ionekane.
 
Mtoa mada hongera sana kwa kuweza kutoa uhalisia wa matatizo yaliyopo katika halimashauri zetu kiukweli kabisa huo ndio ukweli wenyewe japokuwa ni mchungu kwa wenyeji wa maeneo husika yanayohusishwa na shutuma hizi. Kwa upande wangu niliwahi kuwa mtumishi katika halimashauli ya misenyi mkoa wa Kagera lakini kutokana na jinsi ulivyoelezea sijaona tofauti yoyote iliyopo kati ya Kilimanjaro na Kagera. Machache niliyokutana nayo wakati nipo kule kwa ndugu zetu Wahaya ni kama haya yafuatayo, lugha ya mawasiliano ni kihaya ni ofisini,sokoni,kwenye daladala na kwingineko,ukienda dukani au mgahawani jiandae kupandishiwa bei pindi wakisikia lafudhi yako ya kiswahili tu, wakuu wa shule za sekondari zote misenyi,bukoba dc na bukoba mjini,watendaji wa kata wote ni wahaya, ukifungua biashara yoyote ujue imekula kwako kwani hakuna atakaye nunua, lugha inayotumika kanisani ni kahaya na zipo bible za kihaya kiukweli mtumishi wa serikali kufanya kazi baadhi ya halimashauri hasa ninazozifahamu mimi Kagera kama bukoba mjini,Rwamishenyi na misenyi ni kujitoa sana. Mwalimu Nyerere aliona mbali sana kwa baadhi ya makabira hapa Tanzania.
 
sawa mkuu,km recategorization utaratibu ndio upo hivyo mlivyofanya???unamnyofoa mtu kwenye kada ambayo inaupungufu????yaani serikali inawasomesha walimu kwa gharama wewe na jopo lako mnawanyofoa na kuwapeleka idara nyingine kinyume na utaratibu!!!Mimi sijaona Halmashauri ya vilaza kama hii,mwisho wenu unakaribia kama sio kufika mwisho!!Msidhani watanzania wa sasa ni wale wa miaka 47!!!walioajiriwa/waliofanyiwa recategorization hapo wote ni walimu tena wa science ambao serikali imewagharamia kwa fedha nyingi,kwa kujuana kwa vile wazazi wao,jamaa zao ama rafiki zao ni wafanyakazi wa halmashauri eti wamefanyiwa recategorizatio,na MKURUGENZI NAE ANARIDHIKA TU!!hivi hiyo dhana ya kuongeza ajira mpya mnaitekeleza wapi!!!??kama nyie kila siku kufanya recategorization???vijana wenye sifa ya kuajiriwa upya watapataje ajira???acheni uchaga,udini,rushwa za ngono!!!LA BVR kuweza ama kutoweza ww sio msemaji wa watanzania,ulienda field ukaona hawawezi???mnaingiza vimemo vyenu vya mahawara wenu ili mtuharibie zoezi la kitaifa ili watu waseme serikali ya KIKWETE NA CCM imefeli???na mmeifelisha kweli kwa staili hii,mnaendekeza njaa eti na nyinyi wafanyakazi wa halmashauri mnajiweka katika zoezi matokeo yake watanzania wanataka kuhudumia watumishi hawapo wapo machame,kibosho nk kny kuandikisha daftari la kudumu kwa BVR!!UPOLE WA FULGENCE MPONJI UTAMPONZA AMA KUIPONZA HALMASHAURI YAKE.

MY TAKE:Tanzania ya sasa si ya zamani,hamna mtu mwenye hati miliki ya serikali na ofisi zake,hata wewe ipo siku utashushwa kama walivyoshushwa wengine!!!
Naöna we una jaziba na majungu kutokana na kutokuwa na ajira. Unataka mtu asiwe recategorized ili ujiliwe wewe? Kama unaionea huruma serikali kusomesha walimu, nawe si ukasomee huo ualimu? Kwa taarifa yako kijana utasugua sana tu kama unasubiria nafasi za kuajhriwa. Nenda shamba kalime kwani lazma ukae mjini na majungu? Mtu leo mwlimu keshe mwanasheria au muhasibu au afisa mipango au HR. Mwenye nacho huongezewa kaka. We uko nje ya system walioko ndani kuna haki na sheria zinawalinda. Rudi kijijini kalime sio unakaa miji ya watu kusubiri uafisabiashara. Pole zako
 
Wachaga wamebarikiwa na mungu mtajibeba na chuki zenu

Mchaga ni mtu mzuri sana kwenye issue ambayo haihusu pesa!

Kwenye issue inayohusu pesa ni afadhali ukutane na dubu au simba mwenye njaa kuliko mchaga. Kwake utu wa mwingine hauna thamani mbele ya pesa!
 
wachaga wabinafsi sana,hata wao kwa wao!!eti nimekatazwa kuoa kibosho kisa mm ni mmachame!!!mrombo anadharaulika katika wachaga wote,yeye ni tabaka lachini ni niwashirikina,mara wachaga hawajui mapenzi eti maliza sha sha nikafungue duka,mara ukichoka funika.......!!!ukipita Rombo ndo hivyo mbo ga za majani hazifanyi kazi tena,wanaimport mbo ga za majani toka Abroad!!!NAPENDA RAISI ATOKE UCHAGANI(MBOWE)
acha kujitoa ufahamu
 
DAH KWELI HAW C WATANZANIA,HTA KIWANJA HAWAKUUZII WAKIJUA WEWE C mchaga mwenzao!!Wanachuki na uadui mkubwa sana kwa wenzao,washirikina sana hasa WAROMBO!!ukifika rombo matahira kibao,yaani mtu anamfanya mwanae awe ndondocha kisa yeye awe tajiri????afu kila jumapili wapo makanisani mbutaah!!!!
una matatizo makubwa sana
 
Back
Top Bottom