Mkoa wa Geita una mtandao wa ujambazi ambao polisi unawalinda. Pili kampuni binafsi za ulinzi mkoa wa Geita ni sehemu ya kuchangia ujambazi ili wapate wateja . Hizi kampuni binafsi Zina siri kubwa ya kutokea kwa ujambazi Geita, Ziondolelewe tu au suma Jkt watumike.Ujambazi umetokea Kijiji cha musasa, Runzewe Ushirombo. Hali Ni ya Taharuki usiku wa kuamkia leo! Wafugaji waogopa Sana kuona matukio haya yamerudi upyaaa! Polisi tusaidieni
Utashangaa majibu atakayokupa ukiuliza sasa mifugo iko wapi?Jioni ya Leo utamuona ama RPC wa geita anasema majambazi waliposhituliwa na polisi wakarusha risasi ndipo vijana wetu hodari wakajibu mapigo na kuwajeruhi kadhaa na tulipowakimbiza hospilltali wakawa wamekata roho, au RPC kagera ataielezea kwa kusema kuna tukio LA kiharifu, majambazi wenye asili ya nchi Jirani waliteka mifigo na kutaka kuitorosha nchini, kwa weredi wa intelligentsia yetu, tulifanikiwa kuwakamata wawili, jambazi mwenzao akataka kuwaokoa wenzake kwa kurusha risasi bahati mbaya zikawapata majambazi.
Bongo nyosso😅😂🤣nimechekaahUtashangaa majibu atakayokupa ukiuliza sasa mifugo iko wapi?
Utaambiwa mifugo ilisambaa ikakimbilia porini wakati risasi zinarushwa kumbe kikosi kimeshagawana
Tumetahayari na kuogopa Sana hapa Runzewe na Vitongoji vya JiraniPoleni sana mkuu.
Ila umeandika short sana. Fafanua vizuri. Lakini pia katoe taarifa kwenye vyombo husika
Sio mbaya walau wakiongea. Inaweza saidia kupunguza hofu iliyopoJioni ya Leo utamuona ama RPC wa geita anasema majambazi waliposhituliwa na polisi wakarusha risasi ndipo vijana wetu hodari wakajibu mapigo na kuwajeruhi kadhaa na tulipowakimbiza hospilltali wakawa wamekata roho, au RPC kagera ataielezea kwa kusema kuna tukio LA kiharifu, majambazi wenye asili ya nchi Jirani waliteka mifigo na kutaka kuitorosha nchini, kwa weredi wa intelligentsia yetu, tulifanikiwa kuwakamata wawili, jambazi mwenzao akataka kuwaokoa wenzake kwa kurusha risasi bahati mbaya zikawapata majambazi.
Nawaomba wananchi wafike mochwari za hospitality ya biharamulo kuwatambua ndugu zao.
Maoni yangu:
Polisi, tiss na wananchi: kila mkibaini wahalifu tuwatembezee kichapo hadi kuwaondoa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.
Wananchi, mkimkamata mwizi na ushahidi asilimia 100, tembeza kichapo cha haraka sana, cha mawe na then mnambatiza kwa petroli
Kuna watu wanaiba ng'ombe maelfu kwa maelfu mkuu na hawakamatwi, sijui inakuwaje?!🤔Hivi ukiiba ng' ombe zama hizi si unakamatwa kirahisi sana?
Ndugu yenu Magufuli yuko busy na Kampeni ya kubadili Katiba awe Rais mileleUjambazi umetokea Kijiji cha musasa, Runzewe Ushirombo. Hali Ni ya Taharuki usiku wa kuamkia leo! Wafugaji waogopa Sana kuona matukio haya yamerudi upyaaa! Polisi tusaidieni
Hahahaa we jamaa, waondolewe kwenye orodha ya daftari la kudumu la wapiga kura???,Jioni ya Leo utamuona ama RPC wa geita anasema majambazi waliposhituliwa na polisi wakarusha risasi ndipo vijana wetu hodari wakajibu mapigo na kuwajeruhi kadhaa na tulipowakimbiza hospilltali wakawa wamekata roho, au RPC kagera ataielezea kwa kusema kuna tukio LA kiharifu, majambazi wenye asili ya nchi Jirani waliteka mifigo na kutaka kuitorosha nchini, kwa weredi wa intelligentsia yetu, tulifanikiwa kuwakamata wawili, jambazi mwenzao akataka kuwaokoa wenzake kwa kurusha risasi bahati mbaya zikawapata majambazi.
Nawaomba wananchi wafike mochwari za hospitality ya biharamulo kuwatambua ndugu zao.
Maoni yangu:
Polisi, tiss na wananchi: kila mkibaini wahalifu tuwatembezee kichapo hadi kuwaondoa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.
Wananchi, mkimkamata mwizi na ushahidi asilimia 100, tembeza kichapo cha haraka sana, cha mawe na then mnambatiza kwa petroli