Rungu la TRA lafika BAKWATA, yapewa siku saba kuwasilisha nyaraka

Orodha ya makisio ya misamaha ya kodi kwa magari yaliyoingizwa nchini kupitia Taasisi za Dini kuanzia mwaka 2006 hadi sasa;

1. BAKWATA na Taasisi zake (Shule, Vyuo, Hospitali, misikiti etc)
-magari 82 ya aina tofauti yenye thamani ya Bil 6.8 (Kodi iliyosamehewa Bil 1.9),

2. Kanisa Katoliki na Taasisi zake (vyuo, shule, hospitali, parokia etc) - Magari 691 yenye thamani ya Bil 59.5 (Kodi iliyosamehewa Bil 19.3),

3. CCT na Taasisi zake (vyuo, shule, hospitali, makanisa etc), magari 527 yenye thamani ya Bil.42.9 (kodi iliyosamehewa Bil.13.8),

4. Makanisa ya Pentecoste na Taasisi zake (vyuo, shule, hospitali, makanisa etc) - magari 2,719 ya aina mbalimbali yenye thamani ya Bil 186.1 (kodi iliyosamehewa Bil 57.4),

5. Taasisi nyingine za dini (Hindu, Budha etc) magari 203 ya aina mbalimbali yenye thamani ya Bil 36.4 (kodi iliyosamehewa Bil 9.01).

JAUMLA ya Magari yaliyoingizwa nchini kwa mwavuli wa Taasisi za dini tangu Mwaka 2006 (Magari 4,222).

JUMLA ya Kodi iliyosamehewa BIL 102.41

#Hizi ni pesa zinazotosha kujenga Mabunge matatu yenye hadhi sawa na Bunge la Dodoma na chenchi ikabaki. Kumbuka hii ni misamaha ya Kodi kwa magari tu bado vitu vingine kama Vifaa vya Hospitalini, Vitabu vya mashuleni na vyuoni, etc...

MY TAKE.!
Kesho nafungua Kanisa.. 

nukuu chanzo cha hizo data tafadhali
 
Orodha ya makisio ya misamaha ya kodi kwa magari yaliyoingizwa nchini kupitia Taasisi za Dini kuanzia mwaka 2006 hadi sasa;

1. BAKWATA na Taasisi zake (Shule, Vyuo, Hospitali, misikiti etc)
-magari 82 ya aina tofauti yenye thamani ya Bil 6.8 (Kodi iliyosamehewa Bil 1.9),

2. Kanisa Katoliki na Taasisi zake (vyuo, shule, hospitali, parokia etc) - Magari 691 yenye thamani ya Bil 59.5 (Kodi iliyosamehewa Bil 19.3),

3. CCT na Taasisi zake (vyuo, shule, hospitali, makanisa etc), magari 527 yenye thamani ya Bil.42.9 (kodi iliyosamehewa Bil.13.8),

4. Makanisa ya Pentecoste na Taasisi zake (vyuo, shule, hospitali, makanisa etc) - magari 2,719 ya aina mbalimbali yenye thamani ya Bil 186.1 (kodi iliyosamehewa Bil 57.4),

5. Taasisi nyingine za dini (Hindu, Budha etc) magari 203 ya aina mbalimbali yenye thamani ya Bil 36.4 (kodi iliyosamehewa Bil 9.01).

JAUMLA ya Magari yaliyoingizwa nchini kwa mwavuli wa Taasisi za dini tangu Mwaka 2006 (Magari 4,222).

JUMLA ya Kodi iliyosamehewa BIL 102.41

#Hizi ni pesa zinazotosha kujenga Mabunge matatu yenye hadhi sawa na Bunge la Dodoma na chenchi ikabaki. Kumbuka hii ni misamaha ya Kodi kwa magari tu bado vitu vingine kama Vifaa vya Hospitalini, Vitabu vya mashuleni na vyuoni, etc...

MY TAKE.!
Kesho nafungua Kanisa.. ?-???‚?-???‚?-???‚

tumwogope mungu hawa wachungaji mbona tunatembea nao kwa mguu hayo magari yako wapi? Ipo haja ya kuyawekea namba maalum.
 

attachment.php


Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imelishukia Baraza Kuu la Waislamu Tanzania kutokana na kuwepo ongezeko kubwa la maombi ya misamaha ya kodi.

TRA imeiandikia Barua Bakwata baada ya kubaini kuwa kati ya mwaka 2006 na Septemba mwaka huu, Baraza hilo limeingiza magari 82 yenye msahama wa kodi.

TRA ilitoa siku 7 kwa Baraza hilo kuhakikisha inawasilisha nyaraka kadhaa ikiwa ni pamoja kuonesha safari za magari, bima, stakabadhi ya mafuta, uthibitisho kuonesha fedha zilizonunua magari hayo pamoja na kitabu cha mahesabu cha Taasisi hiyo.

Barua ya maombi ya tarehe 9 Octoba 2025? huyu karani Mwantumu Salim mbona kaandika mwaka ambao hata hatujaufikia,karani gani anashindwa hata kupitia barua aliyoandika,hizi ajira kweli shughuli.
 
Orodha ya makisio ya misamaha ya kodi kwa magari yaliyoingizwa nchini kupitia Taasisi za Dini kuanzia mwaka 2006 hadi sasa;

1. BAKWATA na Taasisi zake (Shule, Vyuo, Hospitali, misikiti etc) - magari 82 ya aina tofauti yenye thamani ya Bil 6.8 (Kodi iliyosamehewa Bil 1.9)

2. Kanisa Katoliki na Taasisi zake (vyuo, shule, hospitali, parokia etc) - Magari 691 yenye thamani ya Bil 59.5 (Kodi iliyosamehewa Bil 19.3)

3. CCT na Taasisi zake (vyuo, shule, hospitali, makanisa etc), magari 527 yenye thamani ya Bil.42.9 (kodi iliyosamehewa Bil.13.8)

4. Makanisa ya Pentecoste na Taasisi zake (vyuo, shule, hospitali, makanisa etc) - magari 2,719 ya aina mbalimbali yenye thamani ya Bil 186.1 (kodi iliyosamehewa Bil 57.4)

5. Taasisi nyingine za dini (Hindu, Budha etc) magari 203 ya aina mbalimbali yenye thamani ya Bil 36.4 (kodi iliyosamehewa Bil 9.01).

JUMLA ya Magari yaliyoingizwa nchini kwa mwavuli wa Taasisi za dini tangu Mwaka 2006 (Magari 4,222).

JUMLA ya Kodi iliyosamehewa BIL 102.41

# Hizi ni pesa zinazotosha kujenga Mabunge matatu yenye hadhi sawa na Bunge la Dodoma na chenchi ikabaki. Kumbuka hii ni misamaha ya Kodi kwa magari tu bado vitu vingine kama Vifaa vya Hospitalini, Vitabu vya mashuleni na vyuoni, etc.

HAKI NI SHARTI IWE SAWA KWA WOTE.
 
Kwani na kwenye taasisi zingine walishaenda au maana mimi nimesikia habari za Bakwata tu ??????????
 
Kama kawaida yako jicho kubwaaa umelitoa kuhusu upande wa pili!
 
Safii, hapakazitu, wote walipe, na kwanini wanasamehewa hela nyingi hivyo. Dini zenyewe zinaleta hasara kubwa faida chache, kwanini wapunguziwe kodi? Huu ni ubadhirifu full stop
 
Safii, hapakazitu, wote walipe, na kwanini wanasamehewa hela nyingi hivyo. Dini zenyewe zinaleta hasara kubwa faida chache, kwanini wapunguziwe kodi? Huu ni ubadhirifu full stop
inatakiwa wafute,mijitu inaingiza gari elfu tano na hata hazionekani ziko wapi,kumbe wanauza tu
 
Pentecoste si ndo kuna wachungaji wanaonunua Hammer na Helicopter?
wanasamehewa pia?

Misamaha ya magari ifutwe taasisi zote
ibaki misamaha ya dawa na vifaa vya hospitali tu
 
THE BIG SHOW , Acheni Mawazo Ya Udini. Taasisi Za Kikristo Ni Kubwa Sana Hapa Nchini Zikiwa Na Miradi Mingi. Inayosaidi Jamii. Pia Kwa Govt, Kuhoji Bakwata Sio Lazima Wahoji NA Ukristo. Fununu Za Bakwata Zinajulikana Tangu Siku Nyingi. Mtapelekea Tuangalie Na Majina Ya Waliokamatwa Wakipitisha Makontena Bandarini Dar Bila Kulipa Kodi, Kama Ni Ya watu wa Dini Gani Zaidi. hizi ni akili finyu, Acheni Udini Mliopandikizwa Na Serikali Iliyopita. Tena Muishukuru Serikali hii kwa jinsi Inavyojitoa kuwasafishia Ofisi Yenu.
 
Last edited by a moderator:
H aha ha! Kwani shida yako ni nini? BAKWATA wamehisiwa kukwepa kodi ndio maana wanatakiwa kujisafisha. Hao wengine nao wakihisiwa watatakiwa kufanya hivyo.
 
Orodha ya makisio ya misamaha ya kodi
kwa magari yaliyoingizwa nchini kupitia

Taasisi za Dini kuanzia mwaka 2006 hadi
sasa;

1. BAKWATA na Taasisi zake (Shule, Vyuo,
Hospitali, misikiti etc)
-magari 82 ya aina tofauti yenye thamani
ya Bil 6.8 (Kodi iliyosamehewa Bil 1.9),

2. Kanisa Katoliki na Taasisi zake (vyuo,
shule, hospitali, parokia etc) - Magari 691
yenye thamani ya Bil 59.5 (Kodi
iliyosamehewa Bil 19.3),

3. CCT na Taasisi zake (vyuo, shule,
hospitali, makanisa etc), magari 527
yenye thamani ya Bil.42.9 (kodi
iliyosamehewa Bil.13.8),

4. Makanisa ya Pentecoste na Taasisi zake
(vyuo, shule, hospitali, makanisa etc) -
magari 2,719 ya aina mbalimbali yenye
thamani ya Bil 186.1 (kodi iliyosamehewa
Bil 57.4),

5. Taasisi nyingine za dini (Hindu, Budha
etc) magari 203 ya aina mbalimbali yenye
thamani ya Bil 36.4 (kodi iliyosamehewa
Bil 9.01).

JUMLA ya Magari yaliyoingizwa nchini
kwa mwavuli wa Taasisi za dini tangu
Mwaka 2006 (Magari 4,222).
JUMLA ya Kodi iliyosamehewa BIL 102.41

# Hizi ni pesa zinazotosha kujenga
Mabunge matatu yenye hadhi sawa na
Bunge la Dodoma na chenchi ikabaki.
Kumbuka hii ni misamaha ya Kodi kwa
magari tu bado vitu vingine kama Vifaa
vya Hospitalini, Vitabu vya mashuleni na
vyuoni, etc...

HAKI NI SHARTI IWE SAWA KWA WOTE.

Bakwata wamezidi,kwanza wako wachache nchini halafu magari mengi hivo,wana ofisi chache na nyingi hazina magari,sasa huwa wanayapeleka wapi?
 
Magufuli binafsi naomba aishugulikie BAKWATA hadi mwisho
ikibidi awafunge watu wote wapiga dili wa BAKWATA....

Siku zote waislam wanapiga kelele BAKWATA imeoza na inalindwa na serikali
sasa hakuna kuitetea BAKWATA iliyooza.....wacha Magufuli aikomeshe
ili sasa uozo utoke

waje watu wasafi kuiongoza BAKWATA.....


Hatutaki BAKWATA ilindwe kama kuna ufisadi wacha ukomeshwe.......

BAKWATA hata tv ya milioni 200 wanasema hawana pesa
sasa gari za mabilioni wanatoa wapi pesa?
 
Back
Top Bottom