Maria Roza JF-Expert Member Apr 1, 2009 6,797 1,567 Jul 2, 2011 #6 Mnatupanga kama mafungu ya nyanya :A S-coffee:
W Wandugu Masanja JF-Expert Member Apr 26, 2008 1,549 491 Jul 2, 2011 #7 siku ya mwisho shuleni wakati tukiwa darasa la saba mwalimu, yeyote atakaejibu masuala ataenda nyumbani mapema mwalimu ameanza kuandika nani raisi wa mwanzo Tanzania? kamsichana kamoja alijibu haraka Mwalimu Nyerere msela mmoja yuko nyuma anataka sana kuondoka mapema, mwalimu, nani raisi wa Tanzania kwa sasa, msichana mwengine alijibu haraka, msela kakasirika akaanza kusema kule nyuma hawa wamama wangelinyamaza ingelikuwa poa sana, mwalimu aliuliza nani amesema hivo msela alitowa TIGER WOOD naweza kuenda zangu? mwalimu ameshangaa
siku ya mwisho shuleni wakati tukiwa darasa la saba mwalimu, yeyote atakaejibu masuala ataenda nyumbani mapema mwalimu ameanza kuandika nani raisi wa mwanzo Tanzania? kamsichana kamoja alijibu haraka Mwalimu Nyerere msela mmoja yuko nyuma anataka sana kuondoka mapema, mwalimu, nani raisi wa Tanzania kwa sasa, msichana mwengine alijibu haraka, msela kakasirika akaanza kusema kule nyuma hawa wamama wangelinyamaza ingelikuwa poa sana, mwalimu aliuliza nani amesema hivo msela alitowa TIGER WOOD naweza kuenda zangu? mwalimu ameshangaa