Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,983
- 2,866
Sasa hao jamaa na uchawi wote wameshindwa kutakatisha maji? Wanasubiri uchawi wa mxungu sio?
Tangaza hapa JF kuhusu Gaza wamekosa maji kama hiyo habari ijawa viwer force
Mzindakaya alikuwa mbunge kwa miaka 40 kwenye hilo jimbo. Sijui alikuwa akifanya nini. CCM ni laana
Mimi sijui!Demokrasia ya ccm ni kubadilisha raisi kwa njia ya kudanganya watu mkiiba na kubaka uchaguzi.
Tukisema Leo tuweke andazi na ccm we unafikiria Azam ngano SI maandazi yatakwisha
Hapana sina munkari na hizo habari kabisaTangaza hapa JF kuhusu Gaza wamekosa maji kama hiyo habari ijawa viwer force
Tangaza Ukraine au urusi basi ukizidi sana Kenya utaona moderator anaweka big head viwer
Mungu wabariki WananchiMbwembwe zote za Chongolo zilisha zenyewe baada ya wananchi kumletea maji machafu wanayoyatumia , hata baada ya zaidi ya miaka 60 tangu nchi hii kupata Uhuru.
---
Mwamko wa wananchi kujitambua unazidi kushika kasi
Sent using Jamii Forums mobile app
😆😆😆Sasa hao jamaa na uchawi wote wameshindwa kutakatisha maji? Wanasubiri uchawi wa mxungu sio?
Huku akishika nafasi mbali mbali za UwaziriMzindakaya alikuwa mbunge kwa miaka 40 kwenye hilo jimbo. Sijui alikuwa akifanya nini. CCM ni laana
Mzindakaya alikuwa mbunge kwa miaka 40 kwenye hilo jimbo. Sijui alikuwa akifanya nini. CCM ni laana
Ndo dawa. vile hakuna jinsi ya kubeba giza hili tuwapelekee wajua umeme hakunaKatibu Mkuu wa CCM , chama ambacho kimeasisi kila dhiki unayoiona Nchini Tanzania , Ndugu Chongolo , amegonga mwamba huko Rukwa , pale alipotembelea Jimbo la Kwela (ngome ya Chadema)
Mbwembwe zote za Chongolo zilisha zenyewe baada ya wananchi kumletea maji machafu wanayoyatumia , hata baada ya zaidi ya miaka 60 tangu nchi hii kupata Uhuru.
---
Tatizo la maji katika Kijiji cha Mwela, Jimbo la Kwela, wilayani Sumbawanga, Mkoa wa Rukwa, umewafanya wananchi wa eneo hilo kuusimamisha msafara wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ili kufikisha kilio chao.
Msafara huo ulikuwa unatoka Kata ya Muze kwenda Mto Wisa leo Jumanne Oktoba 10, 2023, kuendelea na ziara yake, ndipo wananchi walipojipanga barabara wakiwa na ndoo zenye maji machafu.
Kutokana na hilo, Chongolo amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi na mwenyekiti wao Chrispin Bernaba na papo hapo, akatoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya hiyo, Ally Nyakia na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa).
Kwa sumbawanga hakuna kinachoshindikana , ngoja tuwaone Wazee wa hukoNdo dawa. vile hakuna jinsi ya kubeba giza hili tuwapelekee wajua umeme hakuna
Laana ya kuwalaghai wananchi miaka 40 inamtafunaNilimuona kijana wake 1 Sumbawanga mjini ni mlevi nyoko ina unafuu
Shukrani sana sana kamanda. Nipo.Karibu tena
Katibu Mkuu wa CCM , chama ambacho kimeasisi kila dhiki unayoiona Nchini Tanzania , Ndugu Chongolo , amegonga mwamba huko Rukwa , pale alipotembelea Jimbo la Kwela (ngome ya Chadema)
Mbwembwe zote za Chongolo zilisha zenyewe baada ya wananchi kumletea maji machafu wanayoyatumia , hata baada ya zaidi ya miaka 60 tangu nchi hii kupata Uhuru.
---
Tatizo la maji katika Kijiji cha Mwela, Jimbo la Kwela, wilayani Sumbawanga, Mkoa wa Rukwa, umewafanya wananchi wa eneo hilo kuusimamisha msafara wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ili kufikisha kilio chao.
Msafara huo ulikuwa unatoka Kata ya Muze kwenda Mto Wisa leo Jumanne Oktoba 10, 2023, kuendelea na ziara yake, ndipo wananchi walipojipanga barabara wakiwa na ndoo zenye maji machafu.
Kutokana na hilo, Chongolo amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi na mwenyekiti wao Chrispin Bernaba na papo hapo, akatoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya hiyo, Ally Nyakia na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa).