kwahiyo unataka sisi tufanywje sasa mbona ytu unatutokaNI KWELI MKUU UTASEMAYO,HUYU JAMAA AMEDHOOFU MNO.AMEPOTEZA NURU KABISA.
Kama haumwi basi itakuwa ni laana za wasanii aliowahi kuwanyonya au kuwakandamiza
Mwili umechoka dose kali..Ishu ya yule mzazi mwenzake kumbwaga ghafla na kuolewa na mtu mwingine ilimmaliza kabisa... Ile clip aliyokuwa akilia unaweza kuhisi uchungu alipokuwa nao moyoni
Na kwa bahati mbaya sana hakufanikiwa kupata comfort ya kutosha na 90% ya jamii ikamrudi.. Katika hali hiyo hata kama angeugua mafuta yangemuumiza pakubwa
tuchukukie hiki ukisemacho ni kweli, huko alikoenda kuolewa mkewe nako mambo yapo hivihiv? nikimaanisha mumewe mpya nae anaginga dozi?Mwili umechoka dose kali..
Akabadilishe damu..na aende service garage!
Hayo mengine ni nakshi nakshi tu...Ruge hanaga kufa kwa mapenzi!
Zake alichoka ndo akaondoka!pamoja na figisu nyengine kuchangia!
Tumuombee nusra kiumbe wenzetu ila mwiba unapochomea ndo unapo tokea@
Inawezekana mkuu..tuchukukie hiki ukisemacho ni kweli, huko alikoenda kuolewa mkewe nako mambo yapo hivihiv? nikimaanisha mumewe mpya nae anaginga dozi?
Tuseme bado yuko kwenye miaka saba ya neema mkuu au sioNi kicheko cha muda tuu... Anguko kuu linakuja
Aaaa wapi!
Adui zangu wote wafe wao na kizazi chao milele yote walahi!
Believe me nilifanya hiyo mistake ya kuwapenda na kuwaombea, nilicho ambulia ikawa mbaya zaidi, sasa wafe tu na vizazi vyao milele yote walahi!
That’s all
ndio vitu anavyoumwa?Get Well Soon Boss Ruge.
====================
Aiseeee ogopa ugonjwa au kuuguza ndugu mwenye magonjwa sugu kama haya ya chini:-
1.Kansa
2.Ini
3.Figo
4.Moyo
5.Kisukari
6.Ngoma Stage ya Mwisho
7.Stroke.
Ni hatari aisee Mungu atuepushie mbali.
Hapana anaumwa FIGO mkuu.ndio vitu anavyoumwa?
Kidney failure mkuuNimepita mahali nikamuona huyu jamaa kama vile amedhoofika sana kiafya.
Anasumbuliwa na nin?
Malipo ni hapa hapa duniani karma inamsumbua hiyo.NI KWELI MKUU UTASEMAYO,HUYU JAMAA AMEDHOOFU MNO.AMEPOTEZA NURU KABISA.
Kama haumwi basi itakuwa ni laana za wasanii aliowahi kuwanyonya au kuwakandamiza
Kwanini? Yeye pia si anaweza kuoa wake zaidi ya 10?Mwanaume kuangalia harusi ya mama watoto wako hope ni ugonjwa wa kutosha kukuondoa.
Dai be careful, wewe utakufa kabisa siku ukiona harusi ya mama tii.
Duh mtu kuumwa ni karma? Acha ulimbukeni wa kukulilishwa ujinga na watu waliofeli maisha.Malipo ni hapa hapa duniani karma inamsumbua hiyo.
Wandugu... Tujistahi basiiiInawezekana mkuu..
mbona harusi za hivyo zipo nyingi sana ..na zinadumu na wanazaa!
Ukijikubali umeme unadhibitika!