Rufaa bodi ya mikopo

danel kasozi

Member
Nov 1, 2015
19
0
naomba wadau mnisaidi namna ya kukataa rufaa heslb.pia mtu anatakiwa awe na sifa zipi ili aweze kupewa mkopo.kati waliokosea sikuwemo,lakini pia 1st &2nd lot simo japo chuo nilipata( BAED),kwa sasa nina mzazi mmoja na ninao wategemezi mzee wangu ni mkulima.
 
naomba wadau mnisaidi namna ya kukataa rufaa heslb.pia mtu anatakiwa awe na sifa zipi ili aweze kupewa mkopo.kati waliokosea sikuwemo,lakini pia 1st &2nd lot simo japo chuo nilipata( BAED),kwa sasa nina mzazi mmoja na ninao wategemezi mzee wangu ni mkulima.

Fika chuo ulichokuwa admitted uonane na Uongozi wa serikali ya wanafunzi, watakujuza nini ufanye.
 
Back
Top Bottom