sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,055
- 715
Jimboni kwako wee ni mbunge?sasa kama utakuwa mbunge kama Kafurira unabwabwaja nin?
condom ikishatumika huwa inarudiwaga bro? Hapo walipo hawana msaada tena kwa magamba, sasa unategemea nape ni mjinga kiasi gani aendelee kuwafadhili?wameishiwa, zile kelele zote za kuzunguka nchi nzima kwishney hata magamba wanajua kwamba jamaa kwa sasa hawana mvuto popote pale kwahiyo kuwatumia ni kupoteza hela zao bure.
Kama chadema inashindwa kuwatendea haki watu waliojitoa muhanga kwa ajili ya harakati za chama, itaweza kuwatendea haki watanzania masikini na wanyonge?