TANZIA Rubani wa Ndege iliyotekwa 1982 kushinikiza Nyerere ajiuzulu afariki dunia

Hii Family ya kina Mazula ilikuwa na Rubani mwingine akiitwa George Mazula baba yake Walter Mazula aliyeuwawa kinyama huko USa 2006. Nilikuwepo kwenye Msiba wa Walter na Mchumba wake Vonetha Nkya. Captain George Mazula alisoma Risala Bora kabisa na Mwanae Brian. Daah 2008 nikasikia Captain George Mazula alifariki, kumbe alikuwepo nduguye naye ni Rubani wa Ndege. Miaka hiyo ya 80+ na 90+ ukisikia Rubani unamheshimu na George Mazula tulimfahamu na kumpenda he was down to earth Mpenda Watu pamoja na umaarufu wa kuwa Rubani wa ATC. RIP Mazula George, Walter na Deo.
Ni familia iliyokua inajiweza baba yao alikua na uwezo ndio mana watoto wake walipata elimu bora,pia kulikua na mdogo wao captain wa meli ya mv victoria
 
Kwahiyo wale abiria mateka waliruhusiwa kuingia mitaani London baada ya kuwasili Stanstead Airport hadi waonane na bii kizee na mbwa wake? Kuna ukweli wowote hapa?

Mkuu, nilinuia kujibu swali la if any of them suffered from life long trauma na nikatoa uzoefu mchungu wa kubadilisha mazingira overnight kutoka joto la tropiki mpaka baridi kali ya Ulaya.

Ni wazi kuwa episode nzima ya utekwaji wa ile ndege una maswali mengine ambayo mpaka leo hayana majibu yanayoridhisha.
 
Walikuwa ni mtu na kaka yake, na wote brand cars zao zilikuwa ni Volvo, enzi hiyo mawaziri gari zao zikiwa ni Pegeot 504 number zikiwa STC na STD!. Gari za polisi zilikuwa Landrover 109, na escort ya Nyerere ilikuwa Peogeot 404. Benzi yenyewe ya Nyerere naomba nisiseme, ila kulikuwa na mhindi tajiri kwa jina la Lord Rajipar, akaleta Benz kali kuliko ya Rais, S Class 500 miaka hiyo!. alitiwa ndani kwa uhujumu!.
Rip Capt. Mazula umetukumbusha mbali!.
P
Paschal kumbe unawajua vizuri ni kweli walikuwa wanapenda gari aina ya Volvo hasa George Mazula
 
Alikuwepo George Mazula. Kama sikukosea George ni mkubwa kwa Deo. George alimaliza form four (1967, Mara SS) na kujiunga na mafunzo ya kuendesha ndege, kule Uganda, Soroti Flying School.
Hapana Deo ni mkubwa na ndiye first born wa mzee Arobogast Mazula Edward Kalendero.
 
Walikuwa ni mtu na kaka yake, na wote brand cars zao zilikuwa ni Volvo, enzi hiyo mawaziri gari zao zikiwa ni Pegeot 504 number zikiwa STC na STD!. Gari za polisi zilikuwa Landrover 109, na escort ya Nyerere ilikuwa Peogeot 404. Benzi yenyewe ya Nyerere naomba nisiseme, ila kulikuwa na mhindi tajiri kwa jina la Lord Rajipar, akaleta Benz kali kuliko ya Rais, S Class 500 miaka hiyo!. alitiwa ndani kwa uhujumu!.
Rip Capt. Mazula umetukumbusha mbali!.
P
Bado nauliza mkongwe,kuna huyu Captain wa Atc matata sana mtu wa kinywaji sana mfupi hivi, mwaka ule baba wa taifa katutoka ye alisema ndio kamtoa London.
Na alipofika pale bar salamu yake ilikua Nendeni mkachukue mzoga wenu nimeshaleta.
Simkumbuki jina huyo nafkiri ni huyo George.
 
Enzi hizo Waswahili wenye Benzi wanahesabika!. Mimi nawakumbuka Benzi ya Mzee Lupembe, Benzi ya Obed Katikaza, Benzi ya Dr. Mtawali. Benzi ya Dr. fulani Changombe. Tajiri mmoja akiitwa Mgaya yeye ndio alikuwa ana Range!.
P
Lorrd Rajpar alikuwa nalo benzi fulani jeupe, namkumbuka akipenda kukatiza nalo kule ocean road baharini ule mtaa unaopita nyuma ya Ikulu kutokea Aga Khan, mzee unaongelea kabla ya 1984 Dar ile ya kwenda disco pale sea view na usiku sana watu wanarudi wanatembea hakuna bajaji wala bodaboda.
 
Hii Family ya kina Mazula ilikuwa na Rubani mwingine akiitwa George Mazula baba yake Walter Mazula aliyeuwawa kinyama huko USa 2006. Nilikuwepo kwenye Msiba wa Walter na Mchumba wake Vonetha Nkya. Captain George Mazula alisoma Risala Bora kabisa na Mwanae Brian. Daah 2008 nikasikia Captain George Mazula alifariki, kumbe alikuwepo nduguye naye ni Rubani wa Ndege. Miaka hiyo ya 80+ na 90+ ukisikia Rubani unamheshimu na George Mazula tulimfahamu na kumpenda he was down to earth Mpenda Watu pamoja na umaarufu wa kuwa Rubani wa ATC. RIP Mazula George, Walter na Deo.
Miaka yake ya mwisho akiwa hai alikuwa akishinda pale maeneo ya Pegeout karibu na ilipokuwa bushtrekker. Alikuwa mtu poa sana, akiniona lazima anisalimie.

Walikuwa members wa Gymkhana Club miaka ile, ndio wajanja wa mjini enzi za Nyerere anaondoka anaingia Mwinyi,

Alikuwepo mtu mmoja akifanya kazi habari Maelezo akiitwa Abdallah Ngororo, kila nikifuata bia za wazee Chinese au IFM usiku ninamkuta anapata kinywaji akiwa na hayati Jaji Mapigano, Profesa Shaba na wazee wengine wa mitaa ile.
 
Miaka yake ya mwisho akiwa hai alikuwa akishinda pale maeneo ya Pegeout karibu na ilipokuwa bushtrekker. Alikuwa mtu poa sana, akiniona lazima anisalimie.

Walikuwa members wa Gymkhana Club miaka ile, ndio wajanja wa mjini enzi za Nyerere anaondoka anaingia Mwinyi,

Alikuwepo mtu mmoja akifanya kazi habari Maelezo akiitwa Abdallah Ngororo, kila nikifuata bia za wazee Chinese au IFM usiku ninamkuta anapata kinywaji akiwa na hayati Jaji Mapigano, Profesa Shaba na wazee wengine wa mitaa ile.
Gymkhana wazee ngoma ngumu pale

Ova
 
Back
Top Bottom