Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,410
Vijana wa Sasa wanawaza kubet na kuiba.View attachment 2076364
Rubani wa Ndege iliyotekwa mwaka 1982 na vijana waliokuwa wakishinikiza Mwalimu Nyerere ajiuzulu, amefariki dunia.
Capt Deo Mazula alifariki tarehe 6 Januari 2022 na Kesho (Januari 11, 2022) anatarajiwa kuzikiwa jijini Arusha katika Makaburi ya Njiro.
Unaweza kusoma kuhusu kisa cha kutekwa kwa ndege hii, hapa Nini kilipelekea vijana wa Tanzania kuteka ndege ya ATC 1982 Mwanza?