Tar 17 nov 2010 42.5 zilikamatwa na polis tdm, na kupelekwa masijala ya polisi mkoani mby chini ya maelkezo ya rpc.taarifa zinaonyesha kuwa dawa hizo zilichakachuliwa na kuwekwea mkaa kwa rushwa ya 300m
baada ya siku 10 dawa hizo zilipelekwa dsm na rco malimbisa ambapo zilibainika kuwa 8kg ni mkaa na hiyo ni kashifa ya polisi mby.
Igp ameunda tume ambayo imemtaja rpc na rco kuhusika na wizi huo ambapo anawahamisha watuhumiwa hao badala ya kuwakamata.
Hii haina tofauti na hofu ya dr hosea kwa kachero wa usa
baada ya siku 10 dawa hizo zilipelekwa dsm na rco malimbisa ambapo zilibainika kuwa 8kg ni mkaa na hiyo ni kashifa ya polisi mby.
Igp ameunda tume ambayo imemtaja rpc na rco kuhusika na wizi huo ambapo anawahamisha watuhumiwa hao badala ya kuwakamata.
Hii haina tofauti na hofu ya dr hosea kwa kachero wa usa