Ndyali
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 1,666
- 950
Exactly kwa nguvu na shinikizo la jana la CHADEMA na maandamano ya waandishi pale jangwani yaliyopelekea Kumu_ignore waziri Nchimbi ambaye naye yupo kikaangoni ni wazi sasa vibarua vya makamanda wa polisi wa mikoa ya Iringa na Morogoro yenye kashfa ya polisi kuua 'ITAOTA NYASI MUDA WOWOTE'.Taarifa za ndani zinadai kuwa makamanda hao wameachiwa wapime wenyewe bila shinikizo ila wakiwa wagumu watang'olewa na hii ni kutokana na Agizo 'lenye moto' la chadema hapo jana.
Haiwezekani kabisa hawo jamaa kukalia kuti kavu kwani serikali yetu ni serikali ya chama cha hovyohovyo, wabunge wenye PhD lakini wanatabia kama za watoto wa chekeche, Rais anaeongoza ni dhaifu unategemea hilo kutokea?