Ingekuwa ulaya,bongo usidhan kuna chochote cha kufanyka dhidi yao.Hivi ni nchi gani ulishawahi sikia mwanafunzi anafaulu mtihani wa darasa la saba na kwenda sekondari bila kujua kusoma na kuandka? Nadhani ni tz pekee! Kwe2 mambo yako kinyume na unavyodhan
Wengine tuliwatahadharisha siku nyingi sana lakini wakadhani ni kama kawaida....When Kings speaks its a decree kila aina ya uumbaji unafuata order if you are to perceive what I mean...People start clapping your holly hands for the King of glory reigns...Elija is not better than me kwani wakati huo mvua haikunyesha na moto ulilamba maji na mawe sasa safari hii itakuwa zaidi ya yale ya Elija kwa Tanzania....I am very serious and no stone shall remain un-burn to the ashes.....
Since the time of John the baptist the Kingdom of God suffereth violence and the violent one exploits.....I made up my mind long time ago when other were waiting for the saviour to come I decided to stand on my position and to do what is right.....With my soft stones and my theory of 'solitons' to make sure all the fisadis are wiped out!
Kumbukeni WALITEULIWA....Sasa kama ilikua kwa utendaji kazi wanaweza kuachishwa ila kama ni rafiki bado nina mashaka. May be kuhamishwa kituo cha kazi.
Kikwete na CCM wanabidi wawajibike pia kwa kushindwa kuwadhibiti polisi na kukalia kimya dhuluma na mateso yanayofanywa na polisi kwa raia
And who are really you by the way?
hawa jamaa wanasababisha sasa tunaanza kuonekana hivi, hii ni post ya jirani yetu mmoja kwenye mtandao mmoja!
Has Tanzania started on the dark journey in pursuit of its lost African sister-states that went that road many years ago? What happened to the Tanzania we all so much admired; the peaceful Tanzania full of people of humility? Has the repressive spirit finally docked on this African hope? God forbid!
And while at it the entire world fraternity must rise up in arms and deserve that the dead journalist be given justice. Since the despicable act was captured on camera it'll not be difficult to know who was involved in this heinous act!
Kamuhanda analindwa na ndugu yake yuko Ikulu nadhani na Shilogile sijui labda analindwa na CCM kwa kuwa yeye ni Mlokole au ni Usalama wa Taifa lakini ni polisi sasa hapa kazi ipo.Kumpeleka mahakamani muuaji means atakwa shahidi kwamba walipewa maelekezo maalumu na hawako tayari tena maana kuna ya Ulimboka hata sasa wanaumia nayo kichwa na hili la Mwangosi litaleta ukweli zaidi maana wamesha anza kuzozana na RCO anaonekana anakili zaidi yeye alikuwa anakataa kuua watu .