Kitu Kizito
JF-Expert Member
- Oct 21, 2012
- 245
- 223
Udikteta ni Verb na Adjective
Dikteta ni noun
mliofilisika mawazo muelekezeni RPC
Mnahangaika na kivuli..
Dikteta ni noun
mliofilisika mawazo muelekezeni RPC
Mnahangaika na kivuli..
To nip the bud of dictatorship which is about to sproutnilikuuliza swali hili
Ukijibu utakuwa na akili kweli
Life's most persistent and urgent question is, 'What are you doing for others?'
Hamna sababu za msingi za kumpinga na kumshinda, wala usijifananishe na mambo ya Libya sijui Gaddafi hakuna uhusiano wowote na maandamano ya kipuuzi ya kudai bunge live,div IV wapewe digrii! Ni ujinga tu, na watakaowaunga mkono labda vichaa, so far mafisadi mnaowatetea watashughulikiwa ipasavyo kudadadeki!Atanyooka yeye.... Ameshindwa ghadafi na Hosin mwenye mizinga na vifaru ataweza yeye
Nyie si Makamanda bana? Malalamiko ya nini tena?
Uchwara mbaya zaidi ni ujinga wa kuandamana Tanzania nzima halafu unaishia selo Dodoma.Hoja uchwaaaaarrrraaaaaaa na akili uchwaaaaarrraaaaaa.
Unataka wafanye nini zaidi ya kusema kile wanachoona ni sahihi?
Nyie si Makamanda bana? Malalamiko ya nini tena?
Kusema kila mtu anaweza kusema. Nyie makamanda hampaswi kulalamika
Kwa taarifa yako mimi sina chama; wala siegemei upande wowote ninapochangia humu. umesisitiza makamanda wasilalamike; unataka wafanye nini?
Poleni sana CCM mmechutama mmekubali yaishe kupitia jeshi la polisi baada ya ku-surrender kuwa mikutano ya siasa ya ndani sasa ni ruksa.Uchwara mbaya zaidi ni ujinga wa kuandamana Tanzania nzima halafu unaishia selo Dodoma.
Jiunge na hao jamaa ufaidike.
Lakini kwa vile umwoga bakia nyuma ya keyboard!
Tutafanya siasa kulingana matakwa ya chama tawala.Poleni sana CCM mmechutama mmekubali yaishe kupitia jeshi la polisi baada ya ku-surrender kuwa mikutano ya siasa ya ndani sasa ni ruksa.
Mziki wa Bavicha umechezwa vema na CCM mmekata mauno wee hadi mwisho wa siku mmejikuta uchi na kuchutama haraka sana.
Big up Bavicha.
Kwerikweri = Kweli KweliMOTOJUU UCHWARA acha kujisumbua na vitu vya kijingajinga, Fanya kazi kwerikweri
Hahahaha wambie, wameamua kujiita makamanda alafu nashangaa wanaliaNyie si Makamanda bana? Malalamiko ya nini tena?
Vipi Kamanda utakuwepo Dodoma 23/07/16?
Aroo kijana, nitakuzingiraKwerikweri = Kweli Kweli