Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,977
- 95,327
Kenya ilikuwa hivyohivyo lakini sasa wanasonga mbele, wanadevelop saana, hivi miaka yote hiyo unanang'ania sisiemu na wafuasi wake wa Ict wazalendo wanaoridisha maendeleo nyuma kwa kusaini mikataba mibovu. Acha habari yako tusonge mbele Ukawa hoyeeee
Hoyeeeeeeeee