TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,917
- 11,315
- Ooooh! he is just spinning kwa ajili ya fisadi papa Rostam, wakati wananchi tuna uchungu na taifa letu? it is strange no?
William.
Bro ni kweli na inauma --- lakini kwenye vita kama hii sometimes we need a few vibaraka ili wawe wanatoa the other side [japo kichwa] ili u-test the salt
i believe Mengi is not fighting a losing battle because he is not alone and what has just started is the proper "POWER TO THE PEOPLE MOVEMENT" that will never be stopped hata kama Mengi hataona mwisho wake!!!!!!!!! Hata MLK Hakuona Obama being the president
WE DO THESE THINGS FOR OUR FUTURE GENERATIONS = UTAMU UTAKUJA PALE WAJUKUU WA MAFISADI WATAKAVYOSOMA VITABU VIPYA VYA HISTORY NA MAJINA YA WAZAZI WAO YAKIWA IN DARK PRINTS SHOWING THE DARKEST DAYS OF OUR HISTORY