omarilyas
JF-Expert Member
- Jan 24, 2007
- 2,130
- 145
Mchambuzi na wenzako,
Wapo wa kutakaswa lakini sion Rostam Aziz na EL. Acheni kujidaganya jahazi linazama na kwa kuwa ninyi mpo "smart" naamini mwaweza kusoma alama za nyakati. Msije mkazama nalo tu....
Kuhusu sppining ya Rostam na makuwadi wake dhidi ya Zitto ni kuwa hiyo siyo ya CCM. Rostam anafanya pembeni mwa ile ya ya CCM ambayo inaendeshwa na organisation ya Chama. statement za kina Mama na Jaka Mwambi ndio zimo katika ulingo wa CCM lakini sio hizi za kina Shoo, Muhingo na wengineo...
Anafanya hivyo sio kwa faida ya CCM bali yake binafi na wenzie katika kile kinachoita UTATU HARIBIFU Tanzania. Rostam ni "smart" yaani huwa makini kutetea maslahi yake hata kama ikiwa kumuuza JK na wengine
Tanzanianjema
Wapo wa kutakaswa lakini sion Rostam Aziz na EL. Acheni kujidaganya jahazi linazama na kwa kuwa ninyi mpo "smart" naamini mwaweza kusoma alama za nyakati. Msije mkazama nalo tu....
Kuhusu sppining ya Rostam na makuwadi wake dhidi ya Zitto ni kuwa hiyo siyo ya CCM. Rostam anafanya pembeni mwa ile ya ya CCM ambayo inaendeshwa na organisation ya Chama. statement za kina Mama na Jaka Mwambi ndio zimo katika ulingo wa CCM lakini sio hizi za kina Shoo, Muhingo na wengineo...
Anafanya hivyo sio kwa faida ya CCM bali yake binafi na wenzie katika kile kinachoita UTATU HARIBIFU Tanzania. Rostam ni "smart" yaani huwa makini kutetea maslahi yake hata kama ikiwa kumuuza JK na wengine
Tanzanianjema