Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Mchambuzi na wenzako,

Wapo wa kutakaswa lakini sion Rostam Aziz na EL. Acheni kujidaganya jahazi linazama na kwa kuwa ninyi mpo "smart" naamini mwaweza kusoma alama za nyakati. Msije mkazama nalo tu....

Kuhusu sppining ya Rostam na makuwadi wake dhidi ya Zitto ni kuwa hiyo siyo ya CCM. Rostam anafanya pembeni mwa ile ya ya CCM ambayo inaendeshwa na organisation ya Chama. statement za kina Mama na Jaka Mwambi ndio zimo katika ulingo wa CCM lakini sio hizi za kina Shoo, Muhingo na wengineo...

Anafanya hivyo sio kwa faida ya CCM bali yake binafi na wenzie katika kile kinachoita UTATU HARIBIFU Tanzania. Rostam ni "smart" yaani huwa makini kutetea maslahi yake hata kama ikiwa kumuuza JK na wengine
Tanzanianjema
 
Jamani,

Acheni propaganda yenu hiyo hapa, tumeshawajua. Hakuna kampeni wala nini, Zitto na issue yake ni kitu kidogo sana kwa RA kuiingilia, haimu affect yeye wala kambi yake, jamaa ni msomi na very smart. Angalieni alivyotengeneza hela zake kabla hata ya kuingia kwenye system.

Mnachofanya humu ni kumpaka matope pasipo ushahidi wala haki.
Kumsaidia JK au kumfanyia kampeni ilikuwa jukumu letu sote wana CCM. Sasa issue ni nini hapo??? ana mradi gani mchafu, ana kashfa ipi?? umewahi kuona mtu anagombea nae kule Igunga? kwanini?

Ndio ujue jamaa ni mtu wa watu, nenda Igunga kaulize ndio utaelewa RA ni nani. Anawajali wananchi.

Kwa ufupi ni Mtanzania halisi.

ACHENI KUENEZA CHUKI NA UONGO.
Viva RA.

FD

Kumbe wewe Ziro kabisa, hujui inachoendelea. Hapa sio mahali pako. Au na wewe mwizi, nini?

Unasema suala la Zitto ni dogo sana? Mmsikilize huyu bosi wenu:

"Zitto amekuwa Zitto, wapinzani sasa wamepata hoja, wametuzidi katika hoja, tunapaswa kuchagua viongozi walio bora ili (wapinzani) wasituzidi katika hoja.

Inashangaza Zitto ambaye amepewa ‘red card' bungeni kushabikiwa na idadi kubwa ya Watanzania wakiwemo wana CCM ambao walikwenda Jangwani kumlaki na kumsikiliza wakati akitokea Dodoma, ni lazima tukisafishe chama ili wapinzani wasije kutupiku," alisema Mwambi
." Tz Daima Agosti 27,2007
 
Jamani,

Acheni propaganda yenu hiyo hapa, tumeshawajua. Hakuna kampeni wala nini, Zitto na issue yake ni kitu kidogo sana kwa RA kuiingilia, haimu affect yeye wala kambi yake, jamaa ni msomi na very smart. Angalieni alivyotengeneza hela zake kabla hata ya kuingia kwenye system.

Unaposema kuwa tumeshawajua unamaanisha wewe na nani vile?

unaposema jamaa ni msomi na very smart unatumia vigezo vya...

Au nawe uko kwenye payroll ya mwizi na mkoloni Rostam Aziz?

Mnachofanya humu ni kumpaka matope pasipo ushahidi wala haki. Kumsaidia JK au kumfanyia kampeni ilikuwa jukumu letu sote wana CCM. Sasa issue ni nini hapo??? ana mradi gani mchafu, ana kashfa ipi?? umewahi kuona mtu anagombea nae kule Igunga? kwanini?Ndio ujue jamaa ni mtu wa watu, nenda Igunga kaulize ndio utaelewa RA ni nani. Anawajali wananchi.

Kwa ufupi ni Mtanzania halisi.

ACHENI KUENEZA CHUKI NA UONGO.
Viva RA.

FD

Miradi yote ya Rostam Azizi ni michafu ikiwemo pesa alizopewa na wa-Iran. Haijalishi anakulipa kiasi gani kumsemea. Kama mwizi na mkoloni Rostam Azizi ni msomi, basi aje hapa kwa wasomi wenzake kujibu tuhuma zake...

mwizi na mkoloni mkubwa Rostam Azizi come on ujieleze na usitume wasemaji wako!
 
Huyu RA naye kuna siku mtamsikia kalazwa wodi VIP,pale Lugaro,kwa mchezo wake huu mchafu tutamtafutia magonjwa ya kiswahili tu.
 
Kichwamaji,

Thanks.
Mwafrika wa kike,

Ninaelewa frustrations zako lakini, amini amini ninakuambia sio RA anayesababisha hizo frustrations zako, ni viongozi wako uliowachagua mwenyewe. mimi sipo kwenye payroll yake. Kamwe siwezi kumwemo nina msimamo wangu. Lakini kusema anaendesha propaganda kwa ajili ya kummaliza Zitto ndio ninakataa, the guy thinks "big" sio issue ndogo ndogo kama hizi. Wapo ndani ya CCM wa kuendesha hizo propaganda sio yeye, mnamuonea bure.

Mbona JM anadaiwa alipokea hela za wa Iran?? na yeye ni Muhindi? Sio kila msikiayo ni kweli.

Tafitini then tujadili.

Am sorry siwezi kukusaidia na hasira zako

FD
 
Kichwamaji,

Thanks.
Mwafrika wa kike,

Ninaelewa frustrations zako lakini,

Mbona JM anadaiwa alipokea hela za wa Iran?? na yeye ni Muhindi? Sio kila msikiayo ni kweli.

Tafitini then tujadili.

Am sorry siwezi kukusaidia na hasira zako

FD

No, huelewi frustrations zangu maana hunifahamu......

Nilikushangaa tu ukim-defend Rostam Aziz wakati yeye anaweza kabisa kufanya hiyo kazi mwenyewe. Otherwise posting zako nyingi ninazizimia na ninapenda unavyopenda kuangalia pande zote za shilingi.....

Katika hili la Rostam Azizi.... naona bado uko kwenye kichwa na inabidi sasa uangalie upande wa mwenge.
 
RA ni mwizi na kila kampuni feki unalolijua nchi hii ambalo limepewa pesa na BOT jua kwamba kuna mkono wake humo ndani.

Mmesahau kuwa DOWANS ambaye alimchukua RICHMAN anahusika moja kwa moja na RA?
 
RA ni mwizi na kila kampuni feki unalolijua nchi hii ambalo limepewa pesa na BOT jua kwamba kuna mkono wake humo ndani.

Mmesahau kuwa DOWANS ambaye alimchukua RICHMAN anahusika moja kwa moja na RA?

Kazi nzuri kaka kwa kuwakumbusha watanzania,maana ni wepesi wa kusahau sana.
 
Sio kwamba nina mapenzi zaidi na chama kuliko nchi yangu but ukweli unabaki kwamba the only party that can move us forward is CCM. BUT, kiwe in the right hands. Wapinzani wote ni wasanii, na siwezi vipa heshima vile kama ni vyama, they are just pressure groups. Hawaja graduate kufikia kuwa vyama in my view.

Cha muhimu ni kukiweka chama cha mapinduzi in the hands of the right people na pia serikali in the right people's hands, especially wizara ambazo zina direct effect na maendeleo ya nchi.

This is strong na powerfull, I like it bro!
 
I think it is too late to expect that CCM will ever be in the hands of the right people. It is like expecting New York to get rid of the Cosa Nostra mafia. For you to move up in CCM you must be mwenzao and for you to be mwenzao you must be a crook like them.
 
I think it is too late to expect that CCM will ever be in the hands of the right people. It is like expecting New York to get rid of the Cosa Nostra mafia. For you to move up in CCM you must be mwenzao and for you to be mwenzao you must be a crook like them.

How can it be plainly expressed than this! We keep hoping, but hope never comes. I think CCM is beyond redemption now; unless someone really screwed up in the head shows up pronto.

Well said Jasusi.
 
Kichwamaji,

Thanks.
Mwafrika wa kike,

Ninaelewa frustrations zako lakini, amini amini ninakuambia sio RA anayesababisha hizo frustrations zako, ni viongozi wako uliowachagua mwenyewe. mimi sipo kwenye payroll yake. Kamwe siwezi kumwemo nina msimamo wangu. Lakini kusema anaendesha propaganda kwa ajili ya kummaliza Zitto ndio ninakataa, the guy thinks "big" sio issue ndogo ndogo kama hizi. Wapo ndani ya CCM wa kuendesha hizo propaganda sio yeye, mnamuonea bure.

Mbona JM anadaiwa alipokea hela za wa Iran?? na yeye ni Muhindi? Sio kila msikiayo ni kweli.

Tafitini then tujadili.

Am sorry siwezi kukusaidia na hasira zako

FD

68auckp.gif
 
Naomba mwenye detailed CV ya Rostam Azizi aiweke hapa ili tuweze kumfahamu vizuri huyu mheshimiwa sana.
 
Fikiraduni,
Tueleze unayojua basi kuhusu RA.Dili zake ni chafu mzee anajulikana usimtetee.CCM imejaa watu wachafu sana matajiri haramu kuliko nchi na wapiga domo wengi wanaoganga njaa huku wakitumiwa kuliangamiza taifa.Siku moja mtajibu tu aidha hapa hapa duniani au kuzimu,hamtakwepa.Na bado dawa yenu inakuja .
 
Whatever happened kwenye kile kitisho cha kusema watalishitaki lile gazeti lililoandika kuwa JK alipokea hela za kampeni kutoka Iran kupitia kwa RA?
 
This is strong na powerfull, I like it bro!

I think it is too late to expect that CCM will ever be in the hands of the right people. It is like expecting New York to get rid of the Cosa Nostra mafia. For you to move up in CCM you must be mwenzao and for you to be mwenzao you must be a crook like them.

This is a big stuff bro!Jasusi we ni kichwa sana!
 
Whatever happened kwenye kile kitisho cha kusema watalishitaki lile gazeti lililoandika kuwa JK alipokea hela za kampeni kutoka Iran kupitia kwa RA?

Hawa wamezoe tu vitisho,kwa taarifa yao wanatufanya sugu.Hachimbwi mtu biti tena siku hizi ni moto mkali tu
 
Back
Top Bottom