Imekuwaje Mtu ambaye sio muumini akapewa fursa ya katika Madhabahu na kusema katika ghafla rasmi ya Kikanisa/ kidini? Hapa kuna usaniii naona Paroko kaweka Pesa mbele mmno; ndiyo maana tumeona baadhi ya Makanisa yakigombania waumini Ktk Tv kwa lengo la kuongeza sadaka/ Mshiko.