kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,785
kuna wakati niliweka uzi humu kuhusu shida ya maji rombo,lakini sikueleweka.kwa kweli kwa mfano kata za mmomwe,kiraen,un'goro,talaha,na nyingine nimezisahau majina kama sio mradi wa masister wa kiraeni parish basi wananchi wa maeneo hayo wangeathirika kupita kiasi.walio maeneo hayo ni mashahidi kuwa hawakumbuki siku mabomba ya maji ya kiliwater yalitoa maji.nilifikia kuhoji kama kuna serikali iliyohai w.rombo.sasa kwa hali hiyo kuna ubaya gani warombo wakihamia kenya ambapo huduma za nyanya,vitunguu,mboga za majani na matunda kwa sasa warombo hupata kutoka kenya.