Typhoid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 223
- 66
Kila mtu ana staili yake ya kumuandaa mpenzi wake kabla ya tendo la ndoa! Lakini mambo makubwa ambayo huwa yako common ni pamoja na;1. Kulana denda.2. Mme kuzama chumvini ama mke kula koni.
Na kuna kuna mengine mengi ambayo kila mtu anajua ili mradi tu amtimizie haja mwenzie.
Kuna baadhi huwa hawataki kabisa romance na wana sababu zao, wapo pia wengine bila romance hujamridhisha kabisa.
Kwa Wale viruka njia kama mimi nimekoma chukuchukua mademu maana nilikutana na balaa! Nilipata mpenzi baada ya kukaa mda mrefu mapumzikoni ila naona bora nirudi tena! Demu nataka kulamba denda ninakutana na harufu Kali ya kalimati, nikajilazimisha kulamba mara akaning'ata ulimi.....mmmmh mwenzenu nimekoma chukuchukua.
Ushauri: kabla ya kukutana na mwenzio hakikisha unakuwa msafi lasivyo uzuri wako hauna maana kabisa
Na kuna kuna mengine mengi ambayo kila mtu anajua ili mradi tu amtimizie haja mwenzie.
Kuna baadhi huwa hawataki kabisa romance na wana sababu zao, wapo pia wengine bila romance hujamridhisha kabisa.
Kwa Wale viruka njia kama mimi nimekoma chukuchukua mademu maana nilikutana na balaa! Nilipata mpenzi baada ya kukaa mda mrefu mapumzikoni ila naona bora nirudi tena! Demu nataka kulamba denda ninakutana na harufu Kali ya kalimati, nikajilazimisha kulamba mara akaning'ata ulimi.....mmmmh mwenzenu nimekoma chukuchukua.
Ushauri: kabla ya kukutana na mwenzio hakikisha unakuwa msafi lasivyo uzuri wako hauna maana kabisa