Hivi kwa nini nchi zenye waumini wengi wa Roman catholic kuna biashara kubwa za madawa ya kulevya na masikini wengi..kwa mujibu wa UN Children's Fund (UNICEF) hizo nchi zinaongoza kuwa na biashara ya ukahaba kwa watoto wadogo, vile vile TOP DRUG LODS
Manuel Noriega, Pablo Escober,Amado Carrillo,Khun Sa,Griselda Blanco,Jose Gonzalo Rodriguez, Santiago Luis Polanco, Paul Lir Alexander. The world's richest Cocaine Dealer JOAQUIN GUZMAN kwa mujibu wa forbes hana utajiri wa $1.billion kutoka Mexico, U.S. offers $5.milion ukimkamata, tuzione hizo nchi.
Major Roman Catholic countries of the world(% of population)
Argentina 92%
Brazil 95%
Bolivia 95%
Chile 70%
Colombia 90%
Costa Rica 76%
Cuba 85%
Dominican Republic 95%
Ecuador 95%
Haiti 80%
Honduras 97%
Mexico 77%
Nicaragua 58%
Panama 85%
Paraguay 90%
Malta 98%
Peru 81%
Philppines 81%
Puerto Rico 85%
Timo-Leste 98%
Venezuela 96%
Sao Tome and Principe 96%.
tujadili
Wanahusika sana mkuu
Angalia hata Tanzania ni sera za Nyerere (kikatoliki) ndio chanzo cha umaskini
Kanisa linakuwa na pesa watu hawana pesa ndio mhimili wake wa kueneza dini kwa kutoa misaada ..lol
Nyerere alitaifisha mashamba na viwanda vya watu (wengi wao muslims) ili tuwe maskini atawale vizuri..
..hiyo biashara inafanywa na kikundi/vikundi vidogo vya watu.
..raia na waumini wa kawaida huwa ni victims tu.
Gama said:Rafiki, upo? Vipi bunge linaendeaje?